Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
hizi ndizo hoja anazopenda yule engineer bukuku wa ccm
a.k.a weberoya
hizi ndizo hoja anazopenda yule engineer bukuku wa ccm
Mkuu, usipende kila kitu kuunga mkono tumia akili yako, utakuja kuambiwa uongoze maandamano ya kupindua nchi upigwe risasi ya kichwa, uone kama huyo Mbowe na a loser Dr Slaa kama wataisaidia familia yako, mfano Arusha, familia za wale Marehemu walipewa 50,000 kama kifuta jashomimi pia .......
Mkuu, usipende kila kitu kuunga mkono tumia akili yako, utakuja kuambiwa uongoze maandamano ya kupindua nchi upigwe risasi ya kichwa, uone kama huyo Mbowe na a loser Dr Slaa kama wataisaidia familia yako, mfano Arusha, familia za wale Marehemu walipewa 50,000 kama kifuta jasho
hahahaaa.....!!.wewe mchunguzi sana,umejuaje?nakuunga mkono.miaWw kila kitu huwa unaunga mkono, huna unachokataaga. Na weza kuja namtaka bintiyo kwa muda, unasema naunga mkono !
.Hiki kirusi kama walivyodai wanachadema kinapaswa king'olewe chamani haraka sana. Ni afadhali mara mia jimbo lirudi sisiem na ijulikane kuwa. mwakilishi wake ni mwanaccm kuliko kuwa na huyu msaliti Yuda iskariote. Mwanajeshi wa kambi ya upinzani akikamatwa mateka, kuna mawili. Ama kuuliwa au kufungwa gela za kijeshi, lakini mwanajeshi msaliti wa wenzie, hakuna option. Jambo moja tu linahitajika nalo ni kifo. Vivyo hivyo shibuda, chadema fire him out of part..Mkimfukuza mmejimaliza wenyewe ! jamaa ameisha wazidi ujanja huyo mwacheni tu alete upinzani wa kweli ndani ya CDM
Ww kila kitu huwa unaunga mkono, huna unachokataaga. Na weza kuja namtaka bintiyo kwa muda, unasema naunga mkono !
jamani mwacheni shujaa shibuda mbona zitto alipokuwa anafanya uozo hakusemwa kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake naunga mkono hoja ya Shibuda zile posho ziongezwe ndi ndogo sana.
Kwa sababu wewe unashikishwa ukuta kwahiyo unadhani kila mtu humu anawaza mawazo ya kipoyoyo kama yako.Ww kila kitu huwa unaunga mkono, huna unachokataaga. Na weza kuja namtaka bintiyo kwa muda, unasema naunga mkono !
kwa sababu wewe unalipwa kwa kuandika upupu hapa jamvini kwahiyo unadhani kila mtu yuko after money? upstairs empty kabisa wewe.Mkuu, usipende kila kitu kuunga mkono tumia akili yako, utakuja kuambiwa uongoze maandamano ya kupindua nchi upigwe risasi ya kichwa, uone kama huyo Mbowe na a loser Dr Slaa kama wataisaidia familia yako, mfano Arusha, familia za wale Marehemu walipewa 50,000 kama kifuta jasho
Mia kwa miaNaunga mkono hoja...