Aiseee!!!!!!! Ukisoma between line hii report, unaona kila dalili za watu walioiwakilisha nchi katika mikataba hii na kuhalalisha usafirishaji wa huo mchanga walilamba chao na kuuza nchi. Iko dalili za wazi mnoo. Wakichunguzwa wote waliowahi kuhusika kusaini hii mikataba kama wapo hai au familia...
Hiyo First Gentleman imekaa vyema na kwa mara ya kwanza niliisikia kwenye Movie series ya 24 Hrs ilipotokea Marekani imepata Rais mwanamke(Madam President Taylor).Season 8.
Cut his Dick? Are you aware of what you are talking about? Was the dick earned when they were together or it is God given? The reason you didn't here anything about a house being cut is that, may be they didn't manage to own a house or the guy owned a house before they met.
Wadau tuulizane hapa labda wengine wanafahamu. Hivi waziri mkuu ni wa muungano au ni wa Tanganyika? Sijawahi kumsikia Waziri Mkuu Pinda akikagua miradi ya maendeleo Chake chake au Kisiwa ndui au kule Uzini. Kila akitoka Dar ni either anaenda kuhudhuria vikao nje ya nchi ama anatembelea miradi ya...
Hapa napingana na wewe kuwa watanganyika walipora nafasi ya wazanzibari 2005. Wazanzibar wao wenyewe kwa unafiki wao ndo waliouza nafasi kwa Watanganyika wakisukumwa na ubaguzi wao walioujenga kwa mwenza Dr. Salim. Mbona tunaficha hili? Kwa faida ya nani? Halafu tunataka kufanya tunawaonea...
NIMEKUSOMA VIZURI SANA.
Hapa mwisho umetia wazo zito ambalo ni suluhu ya kudumu kwa muda mrefu. Russia wanasurvive mpaka leo pamoja na hujuma wanazifanyiwa kwa mbinu hii ya serikali kutengeneza matajiri wazawa wanaifanya kazi chini ya uangalizi wa system. Ruanda inafanya hivo pia na wote...
Kabisaaa!! umenena yaliyo kweli. Walau wangetafuta hata team mpya lakini siyo akina Apson Mwang'onda wale waleeee. Kasoro tuu sasa kutoka kwenye team inaonesha members wengi wanaitaka nafasi. Binafsi sioni kama kuna la maana ambalo wanaweza kulileta kwa nchi yetu kama ambavo watu wengi...
Mwenzetu kwako dini unazielewa kwa namna ipi? Hivi kuna dini inayoitwa Ulutheri hapa duniani? Au unazungumzia madhehebu? Wakristo ni wakristo, Waislamu ni waislamu na Wahindu ni wahindu nk. Madhehebu yanawatofautisha ktk baadhi ya masuala madogo ambayo hayavunji msingi wa kuwa wao wanaamini ktk...
Mimi naomba kuuliza juu ya vifurushi vya Blackberry kupitia Vodacom. Nina watu watatu nimewanunulia simu za Blackberry wanahangaika kujuwa kama kuna kifurushi cha vodacom kupitia blackbery kitakacho wawezesha kupata Internet na kupiga pamoja na sms baadala ya kununua cha internet tupu...
Mimi naomba kuuliza juu ya vifurushi vya Blackberry kupitia Vodacom. Nina watu watatu nimewanunulia simu za Blackberry wanahangaika kujuwa kama kuna kifurushi cha vodacom kupitia blackbery kitakacho wawezesha kupata Internet na kupiga pamoja na sms baadala ya kununua cha internet tupu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.