APRILI 30, mwaka huu, Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kulifanyika kongamano la miaka 44 ya Azimio la Arusha.
Ni kongamano lililoandaliwa na Sauti ya Vijana Tanzania-Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (SAVITA UDSM), kwa kushirikiana na Klabu ya Falsafa chuoni hapo...