Pugu na pond, P.E, kudrop kwenda lamboto, vidumu vya lita tano kutafta maji ya kunywa....
yote kwa yote Pugu inakuweka kuwa strong... Long live Pugu secondary and high school
Hujanipata mkuu, ninamaanish kuwa kwa wanafunzi wa shule hakili zao bado hazijakomaa, akiona mwenzake anakuja na suti kila siku inamharibu kisaikolojia. Lakin kwa wewe mtaani ni mtu mzima unajari maisha yako tu.
Kingine hapo umecompare private na serikali. Tukichukulia let say serikalini...
Badala alete uzii wa maana, analeta uzi wa kujadili ukabila utatupeleka wapi[emoji848]. itabidi tumrudishe karne ya 19 huko, haendani na kasi ya 21st century kabisaaa
Watu kuongea kabila lao wanapokutana sio ushamba, bali ni utashi tu wa watu na kuficha mazungumzo yao. Tuacheni huu ulimbukeni wa mjini kwamba tukijua kiswahili hatutaki kuongea kabila zetu. Tukumbuke kuna wazee wetu vijijini hata kiswahili hawajuii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.