Simuelewi anataka nini

Simuelewi anataka nini

Kwani hujaelewa bado Nandy na Billinass kiti gani kimewafikisha walipo..??

"Ni kumrudi Umpendane na kuanza mapenz upya"
 
KAZI nzur mkuu. Yaani kama ambulance unalia huku una move on Tena kausha hivyo hivyo na namba zake futa akikutukia message mwulize we nani ??
Duuuuu mshipa wa huruma haupitish damu kabisa..
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Acha uyaya wa mapenzi, yaani bado hujitambui, wanaume of 21 century wanata mpaka uwashikie mapanja, hawajielewi kabisa
 
Ngoja nikwambie from my experience, uyo alaipata mwanaume mwingine akampa yale mapenzi ya juu sana hii ikafanya akuone mbuzi, then jamaa akajitoa gafla kashakula mzigo akajitoa kabisa, ndo amekumbuka chaka lake , ssa ni wewe uendelee nae kwa kumla tu ila mahusiano yawe yashakufa maana uyo ni malaya
 
Una umri gani?

Kwa namna ulivyoandika ni kama umri bado wa kitoto sana...
 
Back
Top Bottom