Duu hii battle haina mwisho aisee!
Hawa jirani pia wana kitu inaitwa Mungiki, one of the most dangerous gangs in the world. Hapo mimi mikono juu kiukweli wametuzidi mbali kwa hapo pia.
Una busara ndogo kweli wewe, kwa mawazo yako unaona madhara yatatokea kwa nchi zitakazo pigana tu?
Na unaposhabikia hili swala la nchi mbalimbali kumiliki silaha za nuclear (including USA), unafikiri silaha hizo zitatunzwa kwenye maghala milele?
Wakati wowote nchi ambayo ni politically unstable...
Yawezekana aliona mica, madini ya silicate ambayo yanaweza kuonekana katikati ya miamba mingine. Muonekano wake ni kama vioo vilivyobanwa pamoja (sheets). Angalia picha hii,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.