Recent content by chief mtwe

  1. C

    Naomba msaada wa kilimo cha Azolla

    Nahitaji hiyo Azola , kama unayo nicheki kwa namba 0759229382
  2. C

    Natafuta Muuzaji duka la Dawa Muhimu

    Habari zenu, anahitajika muuzaji wa duka la dawa , awe ana uzoefu wa kuuza dawa . Duka lipo Singida , mwenye kuhitaji ,awasiliane nami kwa namba 071358719
  3. C

    Nauza pikipiki aina ya SKYMARK bei rahisi

    huyu mtu hata sio muuzaji , mnajisumbua tuu bure, mi nimeenda mpaka pale africasana hapokei simu , baadae anasema mara hana ufunguo , kesho yake akanambia atanitafuta nilipo aje ubungo , lakini akipigiwa simu hapokei ... nawashauri , mnaonunua pikipiki , plz dont try this , ina mashaka mengi n u...
  4. C

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    Kwa course ya masomo ya jioni kada ya afya ipo st John ya dodoma , Ordinary diploma in Nursing , ingia mtandao wa cas utaiona
  5. C

    Shamba la Miti ya Mbao linauzwa

    Kwa hiyo hapo miti ipo tayari kununwa?
  6. C

    Nauza pikipiki aina ya SKYMARK bei rahisi

    Hiyo pikipiki bado ipo?
  7. C

    Nafasi mbalimbali za kujiunga vyuo vya afya 2016/2017

    Watu wengine bangi zinawasumbua kweli , sasa hapo kozi ya afya ni ipi ? au unatafuta kiki?
  8. C

    Video Lectures ( 10,000 per CD)

    CD za Adobe nimezimisplace somewhere , check me on wednesday with that number
  9. C

    Video Lectures ( 10,000 per CD)

    1. CISCO CCIE 2. CISCO INTERNETWORKING 3. CISCO SECURITY 4. CISCO CCNA (ICND 1 & ICND 2- Interconnecting CISCO Network Devices ) 5. CISCO SNAF 6. CISCO CCNP 7. CISCO VOIP 8. MS SQL 2000 9. MS SQL 2005 10. MS SQL 2008 11. MS SQL Data Base Admin 12. MS Acess 13. MySQL...
  10. C

    Nini cha kufanya, nimeibiwa simu Samsung S6

    Wengi wetu hatutunzi IMEA number , kama unayo nenda kwa kampuni ya simu husika , kama huna omboleza then nunua ingine.... Tunza IMEA number somewhere huwa inapatikana chini ya betri au kwa kupiga *#06#
  11. C

    Nauza kiwanja maeneo ya Kigamboni (35mx40m)

    Owkey , nimeku PM
  12. C

    Nauza kiwanja maeneo ya Kigamboni (35mx40m)

    Yaaa ni hicho hicho , ni chuo cha ufundi na kilimo ...... ni kama km 20 hivi
  13. C

    Nauza kiwanja maeneo ya Kigamboni (35mx40m)

    Kimepimwa, kipo karibu na chuo cha kilimo cha Pinda, gari linafika hadi kwenye kiwanja
  14. C

    Sound card inauzwa

    Sound card inauzwa bei laki 5
Back
Top Bottom