Vyote, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa maji, ni hatari sana ingawa Serikali yetu inayashughulikia masuala haya kwa stili ya ZIMA MOTO, yaani hadi yalete madhara ndio serikali inastuka na kuanza kuyashughulikia. Nadhani hii SIYO SAWA.
Sasa hao Wazaramo wanahusika vipi hapa au ni ule mwendelezo wa kukosa HOJA na kisha kuibuka na vihoja na upuuzi wa ukabila humu JF?! Mjibu kuhusu huyo aliyewabwaga huko Mahakamani sasa!
Huyu waziri awe na tabia ya kuchukua hatua sitahiki mara ubadhirifu unapotokea kwenye eneo la kazi la wizara hii ya OR - TAMISEMI. Kuna ubadhirifu mwingi na mkubwa humo lakini hatua zinazochukuliwa hazieleweki eleweki! Kuna laxicity ya aina fulani ndani ya wizara hii au hata uwepo wa uzembe...
Tuletee tujifunze zaidi na pia tuhamasike kuingia kwenye sekta hii. In fact binafsi nataka nijifunze kutoka kwa WALIOFANIKIWA! Nasubiri mrejesho wako vidmate! Ubarikiwe.
Sawa WB ndiyo chanzo chako cha hiyo taarifa, basi jaribu na vyanzo vingine on the same issue/subject uone wanasema nini! Usiweke maelezo yako kwa kutumia chanzo kimoja, tafuta CGTN au Radio France au hata hao Wachina wenyewe wana data na takwimu gani on the ISSUE. Kwa njia hiyo, UTAKUWA SALAMA!.
Kaka Mohamed Said, tangu mwanzo nimekiri kuhusu hiyo sheria ya "abbreviations" na ndiyo maana nikazidi kuuliza ili nielewe zaidi; hata hivyo kwani hizo abbreviations za NAMA hazikujipanga!? Hilo ndio swali ili uweze kupata mpangilio mzuri badala ya NEMA unless mlikuwa mnalenga neema!
Na kweli binafsi nitashangaa kama atakataa hilo "deal la China"; kwani wachezaji wengi wa hizi nchi zetu, wanaangalia HAPA siyo PALE/KULE! Yaani wanaangalia ya sasa na wakati huo wakiburuzwa na hao mameneja wao. Mameneja wao wanataka kamisheni zao tu, BASI. Hawaangalii future ya huyo mchezaji,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.