joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Karibuni Sana majirani, mjisikie mpo Nyumbani
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
tukileta video ya Wakenya wametibiwa na wakiishukuru JKCI utasemaje?Wee kondoo hamna jina ya kenya kwa hio video , nikama ulirogwa na kenya.Kenya is not your peer
Si uilete sasatukileta video ya Wakenya wametibiwa na wakiishukuru JKCI utasemaje?
Do you know the number of Tanzanian leaders coming to get treatment in Kenya?tukileta video ya Wakenya wametibiwa na wakiishukuru JKCI utasemaje?
Sawa na sasa tuache vitabia tabia vyetu vya kuomba rushwa hata wagomjwa jamani!MY TAKE: Karibuni Sana majirani, mjisikie mpo Nyumbani
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mention them..Do you know the number of Tanzanian leaders coming to get treatment in Kenya?
Na kweli Gaidi Mwenyekigoda na wenzake wangemmalizia huko huko wodini!Mention them..
Usitutajie Tundu Lissu maana case yake inajulikana..Angetibiwa hapa bongo angemalizwa hukohuko wodini.
Mundosya Huwa anakuja kutibiwa Kenya. Nikuongeze wengine?Mention them..
Usitutajie Tundu Lissu maana case yake inajulikana..Angetibiwa hapa bongo angemalizwa hukohuko wodini.
Mundosya ni nani vile!!???Mundosya Huwa anakuja kutibiwa Kenya. Nikuongeze wengine?
Haya mmeongeza waume wengine kuacha mabepari wa Karen. Wachina hawa watawatoa utumbo i tell you!
Coz you think hatuwezi leta tanzanians, let him show us where they have mentioned Kenya ama kenya imekua SADC country?tukileta video ya Wakenya wametibiwa na wakiishukuru JKCI utasemaje?
Huyu mama anakiri kumpeleka mtoto wake KCMC Hospital,MoshiCoz you think hatuwezi leta tanzanians, let him show us where they have mentioned Kenya ama kenya imekua SADC country?
Hapa wanataja jina la KenyaWee kondoo hamna jina ya kenya kwa hio video , nikama ulirogwa na kenya.Kenya is not your peer
Sawa WB ndiyo chanzo chako cha hiyo taarifa, basi jaribu na vyanzo vingine on the same issue/subject uone wanasema nini! Usiweke maelezo yako kwa kutumia chanzo kimoja, tafuta CGTN au Radio France au hata hao Wachina wenyewe wana data na takwimu gani on the ISSUE. Kwa njia hiyo, UTAKUWA SALAMA!.