Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
HAKUWEPO au wenzangu mlimwona!?
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Chumvi zako zitakuganya watu wakupuuzie.
Hukua na haja kutamka kuwa atahutubia ikiwa haukuwa na uhakika huo.

Ona sasa muda umwkuumbua.
Mbowe hahitaji busya ya uongo tayari ana jina.
Acha kutia chumvi ya mawe
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
... Kiongozi mbona Mwamba hakutoa speech kwenye shughuli kinyume na ulivyotutaarifu awali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom