Nini cha hatari? Ukataji miti hovyo au mifuko ya plastic?

Nini cha hatari? Ukataji miti hovyo au mifuko ya plastic?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,574
Reaction score
8,907
Ukiangalia Jafo mara zote yuko mbele za Kamera anazungumzia mifuko ya plastic, huwezi msikia anazungumzia ukataji wa miti hapana na hata walio.mtangulia ilikuwa hivyo hivyo.

Inaonekana watendaji wa wizara ya mazingira, kwao inawalipa zaidi wanavyo dili na mifuko ya plastic kuliko ukataji miti ambao kwanza ndio hatari zaidi.

Sikatai swala la plastic bag ila ukataji wa miti kwa ajili ya mikaaa na kuni ni hatari zaidi ya nylon ila shida watawala sasa wao ni plastic bag kila kukicha.

Nchi iimekuwa jangwa na wakina Jafo wako bise na nylon.
 
Ukiangalia Jafo mara zote yuko mbele za Kamera anazungumzia mifuko ya plastic, huwezi msikia anazungumzia ukataji wa miti hapana na hata walio.mtangulia ilikuwa hivyo hivyo.

Inaonekana watendaji wa wizara ya mazingira, kwao inawalipa zaidi wanavyo dili na mifuko ya plastic kuliko ukataji miti ambao kwanza ndio hatari zaidi.

Sikatai swala la plastic bag ila ukataji wa miti kwa ajili ya mikaaa na kuni ni hatari zaidi ya nylon ila shida watawala sasa wao ni plastic bag kila kukicha.

Nchi iimekuwa jangwa na wakina Jafo wako bise na nylon.
Vyote, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa maji, ni hatari sana ingawa Serikali yetu inayashughulikia masuala haya kwa stili ya ZIMA MOTO, yaani hadi yalete madhara ndio serikali inastuka na kuanza kuyashughulikia. Nadhani hii SIYO SAWA.
 
Back
Top Bottom