Habari wanajukwaa mimi ni mjasiriamali ambaye ninafuga kuku wa nyama na nataka kuanza kuuza pia sokoni hasa soko la Shekilango na kwenye restaurants.
Kulingana na majukumu imenipasa nitafute msaidizi wa kuuza kuku na kutafuta oda tutalipana kwa commissions yani kadiri anavyouza.
Niweke wazi...
Habari za wakati huu wadau wa jamii forum.
Anatafutwa kijana wa kazi ya kuuza duka.
Location: Dar es salaam vikunai.
Vigezo: kijana wa kiume
Umri miaka 17 mpaka 20
Uaminifu mkubwa
Ofa: Malazi na chakula juu yangu
Salary: 40000 per month.
Duka bado ni jipya hivyo maslahi hayo yanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.