Recent content by chetume

  1. chetume

    IGP, Kama unataka kuwakamata wauaji Pwani...

    Here we go Mh IGP
  2. chetume

    KIBITI: Askari mgambo auawa kwa kupigwa risasi

    Police wetu bado wanasafari ndefu sana kwa upande Wa intelligence department kwakweli haiwezekani tangu tumeanza kusikia mauwaji ya kibiti na bado yanaendelea na pia hatujuh yatatufikisha wapi wananchi. Then kwa intelligence yenu inaoneka imefika mwisho kwa kuwaambia wananchi mwisho Wa kutembea...
  3. chetume

    Wezi wamenitenda vibaya, Msaada

    Pole ndugu cha muhmu wamekuachia baby wako
  4. chetume

    Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

    Hapa chuga hatuchezagi sisi hatutaki kuona kijani hapa hata tukiwekewa kijani na jiwe tutapigia jiwe
  5. chetume

    Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

    Ahahahahhaah chuga yetu sis ama dar chugaaaa? Hapa mpaka mwisho wa tz ni chadema moja
  6. chetume

    Sauti ya Ujerumani ifungiwe matangazo yake Tanzania

    Umelogwa vibaya na ccm www
  7. chetume

    CHADEMA sasa chali

    leo week end mkuu jamaa anatafuta buku 7 kwa hudi na uvumbaaaaaa tumewashika pabaya
  8. chetume

    Hali sasa ni tete kwa Lowassa, atengeneza mafuriko bandia baada ya Mh. Magufuli kuilipua Arusha

    Dawa ishaingia vizuri sasa mmeanza kuchanganyana mafisiem nyie picha hizo hizo kila siku chuga hatunaga mauda sisi
  9. chetume

    Wenye ndoa piteni hapa kwa ushauri

    Pole mkuu kwakweli wanawake wanatupeleka mputamputa sana cha muhm nikuwa mvumilivu tu mkuu yana mwisho hayoo
  10. chetume

    Jaji Lubuva amenena tena,kazi imebaki kwa mawakala wa vyama

    safi sana Jaji msomi heshima kwako sir.Najua wale jamaa wa bao la mkono matumbo joto hapooooo:target::target::target::target::target::target:
  11. chetume

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Haya kachukue buk7 yako ya lunch tuache na fisadi wetu mpaka ikulu. Jitaihid kubuni majungu mengi zimebaki siku chache buk 7 hazitakuwepo tena mchumia tumbo
  12. chetume

    UKAWA/CHADEMA mripoti hili NEC mara moja, la sivyo mtajuta muda si mrefu

    ccm wapo mwimbili mda mrefu sana wanapumulia mashine wanasubiri tarehe 26 October tukawapumzishe salama
Back
Top Bottom