chiumbimnungu
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 151
- 217
IGPHuyo mgambo alikuwa wa cheo gani?
IGPHuyo mgambo alikuwa wa cheo gani?
Tatizo hajauliwa kadaChadema njooni mshangilie sasa
Dhulma,uonevu,ubabe....chakushangaza bado serikali na vyombo vya usalama vinatoa kauli zile zile za ubabe badala ya kutafuta sababu ya haya mauajiSo sad. Huko kutakuwa kuna tatizo kubwa ambalo watu hawataki kuliadress, mwisho wa siku wanauwawa wananchi ambao hata kazi wanazofanya haziwanufaishi. Unauwa mgambo, kwa kipi alichonacho?
Iini?Hao jamaa watakuwa wanajulikana ipo siku watapatikana.
Pm majaliwa alisema wanauwezo kwa hiyo hawairaji msaada kutoja njeKwa maoni yangu suala la kibiti linaongelewa zaidi midomoni.. Kila linapotokea tukio tunasikia maneno makali, viongozi kutembelea kwenye crime scenes, then wanarudi kwenye maofisi yao na maisha yanaendelea kama kawaida kwao.. Naendelea kushauri kunatakiwa kutafutwa ushahidi wa kisayansi zaidi kuliko huu wa kuwatisha na kuwabughudhi wakazi wa maeneo hayo, ambayo nayo imekuwa ni kero nyingine.. Hawa wauaji wanaacha clues kwenye matukio.. Alama za vidole, risasi zilizotumika, footprints, na mengi mengineyo.. Hapa ndipo Jeshi la polisi lingeomba msaada toka kwa wenye utaalam wa uchunguzi kama huo kama Scotland yard.. Na wala haitakuwa mara ya kwanza kuomba msaada toka Scotland yard au FBI.. Hii issue sasa imeshakuwa kubwa.. Jini limeshatoka nje ya chupa.. Tunahitaji msaada toka kwa wenye utaalam..
Kazi ipo kunatatizo ukanda huoAisee utadhan kama wako syria