Tanga ya Mjerumani, nimji wakizamani
kavutiwa mkoloni ,kukaa hapa nchini
wambali wamikoani,walikuja mashambani
sikwambii viwandani,napirika bandarini
unani tanga kunani,akuonae ni nani?
Umaarufu mwambao,kwenye bahari yahindi
umeandikwa ubao,kuwa siku hazigandi
elimu ndio funguo,idai...