Recent content by chedaiwe

  1. chedaiwe

    Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu(Dementia) ni ugonjwa adimu Tanzania?

    Unachosema nikweli bibiangu hakukumbuk chochote kile muda wote anatakiwa awe na mtu wa kumuangalia bila hivo anapotea
  2. chedaiwe

    Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu(Dementia) ni ugonjwa adimu Tanzania?

    Bibiangu anaugua huu ugonjwa mwaka wa kumi sasa hakumbuki chochote hakumbuk mtu yoyote
  3. chedaiwe

    Kisa cha kweli: Jinsi nilivyosengenywa na "kubaguliwa" na Watanzania wenzangu nchi ya ugenini

    Tweheiwe sana...mpaka gari tulishindwa kupanda Sent using Jamii Forums mobile app
  4. chedaiwe

    Kisa cha kweli: Jinsi nilivyosengenywa na "kubaguliwa" na Watanzania wenzangu nchi ya ugenini

    Acha tuu nilijiskia fedheha sana mpaka leo nikikumbuka kile kitendo najisikia vibaya Sent using Jamii Forums mobile app
  5. chedaiwe

    Kisa cha kweli: Jinsi nilivyosengenywa na "kubaguliwa" na Watanzania wenzangu nchi ya ugenini

    Niliona aibu sana tangu sijawahi kumsema mtu kilugha tena Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chedaiwe

    Kisa cha kweli: Jinsi nilivyosengenywa na "kubaguliwa" na Watanzania wenzangu nchi ya ugenini

    Hii imeshawahi kunikuta siku moja tupo na shoga yangu kituo cha daladala tunasubiria daladala ije tupande tumesubiri sana kama lisaa limoja hamna gari pembeni yetu yupo mzee mmoja amebeba mkoba wake umechakachakaa tukaanza kumsema kipare mimi na huyo shogaangu tukamsema sana mara daladala ikaja...
  7. chedaiwe

    Tuna shindwa wapi wasomi wenzangu?? Nani alaumiwe

    Wapo wanaofanya hivyo mmoja wapo ni mdogoangu hakumbuki chochote kuhusu wazazi wake na hata ikitokea likizo akaamua kuja nyumbani hawa bebei wazazi wake zawadi yoyote ile
  8. chedaiwe

    Wadada mtuelewe

    [emoji23][emoji23]aisee.
  9. chedaiwe

    KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

    Heee! kwanini na wakati yeye ndio mama?
  10. chedaiwe

    Hivi umewahi kulala na mpenzi, mke au mume anayeota kwa kuongea,ilikuwaje?

    Mimi mmoja wapo naogopa hata kulala ugenini maana nikiwa usingizin naropoka hatari
  11. chedaiwe

    Hapigi simu, ukipiga hapokei wala hatukua text, unafahamu ruka kuwa you mzima = umeachwa

    [emoji27][emoji27][emoji27]kwakweli sitaki kukumbuka maumivu yale ilibaki kidogo niwe chiz
  12. chedaiwe

    Hivi wanaume wenzangu huwa mnapataje ujasiri wa kula machangudoa?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee
  13. chedaiwe

    Hivi wanaume wenzangu huwa mnapataje ujasiri wa kula machangudoa?

    Kwani bila mwenye chura mnara hausomi?
Back
Top Bottom