KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

Nakuwa nae kipindi cha hatari tu,baada ya hapo kila mtu anaendelea na maisha yake!
Hapo utakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia shauri yako. Inahidi ukaanae angalau miezi miwili uwe na uhakika kuwa mtoto ni wako
 
Ngoja aje mwanamke kwa gia hiyo halafu tuje kuona uzi wa kumuoa hapa hapa.
Japo kwa bahati mbaya wanawake hawana hulka ya kushirikiana kuunda kamati za roho mbaya kama sisi wanaume ili kuhakikisha jombaa anatengua hiyo kauli na kutangaza ndoa chap.
Haha mkuu,mimi kuishi na mwanamke nahisi siwezi, siwezi kuingiwa kirahisi,mi ni baharia mzoefu
 
Hapo utakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia shauri yako. Inahidi ukaanae angalau miezi miwili uwe na uhakika kuwa mtoto ni wako
Kuhusu kuwa na uhakika kama mtoto ni wangu ni ishu ndogo,bahati nzuri nayajua sana hayo mambo!
 
Unaweza fanikiwa na kutimiza lengo lako lakini vipi je umefikiri kuhusu mtoto, maisha ya kukaa bila mama yake na kupata malezi na upendo wake baada ya hio miaka miwili
nimefiria sana mkuu,ni jambo la kawaida naweza kuwa nampeleka wanaonana ila anakuwa hana say kuhusu mtoto!
 
Bado sijapata mtu PM,This is serious ndugu zangu wasichana.Naendelea kusubili
 
Back
Top Bottom