Maendeleo sidhani na ndio maana kastopisha ajira sasa ni mwendo wa kupambana na Ukuta tu, hajui kama aliahidi tz ya viwanda kila siku vinaibuliwa vitu hewa tu na sitoshangaa hadi wananchi nao wakaja kuitwa wananchi hewa sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
Sasa kula na kulala je atawadumia yeye???? Kuna mahitaji muhimu ya binadamu kwanza ndo aseme hayo atayabeba na sio kusema atawasomesha bure ktk shule zilizojaa madawati ila walimu hakuna
Daah amakweli sisi tuliompigia kura huyu inapaswa tulaumiwe duuuh sasa hizi ajira c ndo zinawasaidia watoto wa masikini jamani daaah hawa jamaa wawe na huruma bhana hii nchi ni ya watu wote na sio ya watu Fulani yani inatia hasira mpaka basi yani
Naona yule bundi wa migogoro na kugombana akihamia yanga safari hii, kweli haya mambo ni kwa zamu na sasa ni zamu yao, manji mjanja sana amefanya vile baada ya kuona Dangote anaitaka ile timu ndo maana akaamua ajilodishe fasta fasta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.