Njia ya muongo ni fupi. Hayo mabasi ya shabiby sikuhizi hayana mvuto kwa watu nauli bei juu huduma mbovu hata kamaji tu njiani hawakupi wamekuja wanaojua kuongeza thamani kwenye biashara naona wanaaanza kutapatapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.