Mkuu nimesahau jina la ule wimbo mkali sana wameimba collection kina buster rymes na wenzake "Im ma party" X2 hii ni chouros, Nisaidie Jina la Wimbo nautafuta sana
Mbona Tunaambiwa tuzingatie km..??
Mimi natumia Oil ya Total 5W-30 this is as per manual ya gari
Route za town na masafa ya mkoa vimechanganyika
Ushauri
Haisaidii maana naye ni muuzaji tu, hakuna mwanamke utakuwa naye aache kutaka dependency ya hela kwako. Hata walioolewa (Wake) ni madanga kwa waume wao -hawataki kufanya kazi wanataka mme ndie ahudumie kila kitu et kwa sabab ni watoto wake.
Unaweza ukawa na mwanamke mmoja akakuchuna kulko kuwa...
Kweli Nadhani ni jinsi mtu alivyoumbwa katika Vipaumbele vyake na kile kinachompa Raha. Mwingine kuhonga mwanamke kwake ndio raha .. na anapenda mwanamke amuombe hele na yeye ajisifie kuwa mm ninamtunza huyu etc etc,,... DUNIA PANA SANA HII..
Je kwa mtu anayesikia njaa kali mara kwa mara ni dalili ya niini, Hadi usiku anaamka njaa kali hata kama amekula muda mfupi tu... Je inauhusiano na hizi nguvu za kichawi
100% ....Mkuu umeongea POINT KUBWA SANA
Nadhani Natakiwa kukusikiliza zaidi katika hili...
Sijui mwongozo upoje ili unidadavulie vizuri kwa muktadha wa kujifunza hizi mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.