Recent content by ChaterMaster

  1. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaopenda muziki kwenye gari, tukutane hapa

    Mkuu nimesahau jina la ule wimbo mkali sana wameimba collection kina buster rymes na wenzake "Im ma party" X2 hii ni chouros, Nisaidie Jina la Wimbo nautafuta sana
  2. ChaterMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ratiba ya clubs zipi zinapiga 80's, 90' and maybe 20's Hiphop

    Naombeni jina la kusearch youtube ule wimbo wa Old-Hiphop wa "In ma party" wanafokafoka kishenzi
  3. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Nissan X-Trail mpya

    Mbona Tunaambiwa tuzingatie km..?? Mimi natumia Oil ya Total 5W-30 this is as per manual ya gari Route za town na masafa ya mkoa vimechanganyika Ushauri
  4. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Nissan X-Trail mpya

    Unabadilisha oil kwa km ngp
  5. ChaterMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

    Haisaidii maana naye ni muuzaji tu, hakuna mwanamke utakuwa naye aache kutaka dependency ya hela kwako. Hata walioolewa (Wake) ni madanga kwa waume wao -hawataki kufanya kazi wanataka mme ndie ahudumie kila kitu et kwa sabab ni watoto wake. Unaweza ukawa na mwanamke mmoja akakuchuna kulko kuwa...
  6. ChaterMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

    Kweli Nadhani ni jinsi mtu alivyoumbwa katika Vipaumbele vyake na kile kinachompa Raha. Mwingine kuhonga mwanamke kwake ndio raha .. na anapenda mwanamke amuombe hele na yeye ajisifie kuwa mm ninamtunza huyu etc etc,,... DUNIA PANA SANA HII..
  7. ChaterMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

    Wekeni LINK ya kuchek ball
  8. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na bawasiri

    Ulibadiilisha ulaji KIAJE....Fafanua Mkuu ... wengi wahanga humu
  9. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na bawasiri

    kwahyo hauna dawa
  10. ChaterMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii picha ya Kramo imenihuzunisha sana

    Utopolo katika ubora wako
  11. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Je kwa mtu anayesikia njaa kali mara kwa mara ni dalili ya niini, Hadi usiku anaamka njaa kali hata kama amekula muda mfupi tu... Je inauhusiano na hizi nguvu za kichawi
  12. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba nijue stahiki za watoto wangu

    P, UMETISHA SANA MWAMBA................ Hili eneo upo vizuri sana .........Big-Up Bro...!!!
  13. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Tumikia ufalme wa nuru / Tumikia Ufalme wa Giza

    SOmo mbona limeishia hapa, mwendelezo hakuna..???
  14. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    100% ....Mkuu umeongea POINT KUBWA SANA Nadhani Natakiwa kukusikiliza zaidi katika hili... Sijui mwongozo upoje ili unidadavulie vizuri kwa muktadha wa kujifunza hizi mambo
  15. ChaterMaster

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?

    Mkuu Mayala , Upoooo..?? Umepotea sana zama hizi za awamu ya 6
Back
Top Bottom