kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,086
- 913
uneona sasa mkuu, hiyo spika rela wattage ni 350, amp ni 400@4ohm na 800w @2ohms . sasa hapo hiyo amp spika tu ni kubwa kwa maana iko na 350 watts, na hapo ume bridge, yaani umeamua kuitumia kama monoblock amp, ukifinga chanel zote 4 utapata 70w tu, hyo uwezo wa kupata bass ya mkito sahau. ushauri wangu nunua amp kubwa yenye uwezo, au spika za midi unga kwenye redio halafu bass uitoe kwenye output line iiingie kwenye booster, na hiyo booster/ amp itumike kusukuma bass tu
kuna mdau pia hapo juu alishauri kama unavyoshauri wewe, kwamba ili kupata mziki mzito wenye kishindo heavy inanibidi kuweka AMP yenye power kubwa kuzidi speaker, na niweke EQUALIZER. Kuhusu EQ akapendekeza brand ya BOSCHMAN.
So kuhusu AMP, unashauri niweke ya Watts ngapi? na brand gani ni the best? EQ nitaweka ya Boschman, na speaker nitaendelea nayo hii hii iliyopo Pioneer watts 350.