Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Yoyote anayemtesa huyu jamaa kwa misumari basi ajue anatukosea sana wapenda kabumbu. Halafu kwanini wachezaji wazawa wanawabagua wachezaji wageni hapo lunyasi? Hata picha inajieleza tu
Hivi wewe au yeyote yule aliyeziba nembo ya M-Bet kwenye jezi ya Che Malone na kuacha kwenye jezi ya Daktari wa timu, una akili sawasawa? Mantiki ya kufanya hivyo ilikuwa nini?Yoyote anayemtesa huyu jamaa kwa misumari basi ajue anatukosea sana wapenda kabumbu. Halafu kwanini wachezaji wazawa wanawabagua wachezaji wageni hapo lunyasi? Hata picha inajieleza tuView attachment 2749944
Mimi ni mzito sana kuamini kuwa kila jeraha linatokana na kurogwaYoyote anayemtesa huyu jamaa kwa misumari basi ajue anatukosea sana wapenda kabumbu.
Kwa hiyo ushahidi ni kutajwatajwa? Ni nani anayemtajataja? Kuna uhusiano gani kati ya kutajataja na uhalisia?Na kwenye ulozi japo halina ushahidi wa moja Kwa moja wa kuthibitisha wanatajwa sana wachezaji wazawa hasa kuwafanyia figisu wachezaji wa kigeni.Hasaa Babu Boko ndiyo anatajwa tajwa.
Inasikitisha sema na yeye kwanini asiroge apate nafuu
Saana yaani saanaInasikitisha sana aisee. Jaribu kuvaa viatu vyake.
Utopolo katika ubora wakoAache kujiliza si arudi kwao akacheza huko kwao?
Hoja ya Msingi Sana lakini waumini wa ulozi watakuzodoa. Kuna Wachezaji ni injury prone Tangu wakiwa walikotoka. Wamefika kidogo tu wamejotonesha watu wameanza kuwasingizia kina Bocco. Bado kuna mwingine akianza kuwa majeruhi atasingiziwa Mzamiru. Yaani Wachezaji wageni hawajui kuroga Ila wa ndani.Acha kupakazia wachezaji wazawa tuhuma za ulozi zisizo na ukweli. Jiulize kama simba walipima afya za wachezaji kabla ya kuwasajili!!
Sana aisee,inasikitishaInasikitisha sana aisee. Jaribu kuvaa viatu vyake.
Yule wa Airport?Hoja ya Msingi Sana lakini waumini wa ulozi watakuzodoa. Kuna Wachezaji ni injury prone Tangu wakiwa walikotoka. Wamefika kidogo tu wamejotonesha watu wameanza kuwasingizia kina Bocco. Bado kuna mwingine akianza kuwa majeruhi atasingiziwa Mzamiru. Yaani Wachezaji wageni hawajui kuroga Ila wa ndani.