Ilikuwa siku ile wainzani walipojidai wameungana. ndipo akaulizwa Makamba; wauonaje muungano wa cuf,chadema,nccr, na tlp? akasema; hao ni kama paka wamefungiwa mikia kwa pamoja, wakiwekewa maziwa kila mmoja atajivuta upande wake kuyafukuzia hayo maziwa. Kwani kilienda mbali!, Chacha Wangwe...