KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 93
- Thread starter
- #21
Chi ucheme kabicha "Ukikosoa sisiemu wewe chadema"
heheeee, umeniacha hoi ! lakini ilitakiwa kuwa the other way round !
Mbaya hadi hivi sasa ni kwamba CHADEMA haina vision tegemezi kama chama kusema kwamba waamue kila fulani on their own, hawawezi kwa sababu hawana what it takes to do that, na hawajiamini!
Nafananisha hili na uongozi wa kubahatisha. Leo mbowe anawaponda wenzake kwa kusema wamepachikwa na ccm, kesho yake anaenda kuungana nao. Baadae anasema wapo pale kwa ajili ya matumbo yao, the next thing you know ni kwamba anaungana nao ! Mbaya zaidi ni pale kwa yeye kama mwenyekiti kukataa kulipa mabilioni ya mapesa ya watanzania na kuyatia mfukoni kwake na kusahau kwamba huyu nyuma watanzania tuna shida.
Wow, how sad is this !