Recent content by charlie78

  1. C

    Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

    Watu wengine bana,si mkashabikie michezo mingine yaani mnatia hasira sana.Ndo maana tunasema ligi yenye ushindani yaani timu yoyote inaweza kuwa bingwa!ndio ushindani mkuu!Sasa ligi yenye timu mbili ambazo zinacompete kila mwaka isipokuwa hii utajua lazima iwe ile.Sikatai Spain ni ligi yenye...
  2. C

    Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

    Tafadhali nakuomba sana kwenye list ya timu zako kubwa ondoa Arsenal na Chelsea au unipe vigezo unavyozingatia kuita hizo timu timu kubwa labda ntakuelewa.
  3. C

    Wakili Kibatala ahoji mamlaka ya Waziri Mwakyembe kuifuta Tanganyika Law Society(TLS)

    Ahahaaaa!ningefurahi sana kuliona hilo picha.
  4. C

    Ghalama za power tiler toka nje

    Maana yangu ni kwamba km unajua wanavyouza na bei yake kwa hapa nyumbani na nje ya nchi mpe ili aamue mwenyewe kusuka au kunyoa.
  5. C

    Ghalama za power tiler toka nje

    Dah!kuna watu wengine sijui wameumbwaje,mtu anaomba muongozo badala ya kumsaidia unaingiza dharau eti "ki power tiller kimoja"?
  6. C

    Huku Mello, kule Lema: Signs of struggles!

    SIO AKILI YAKO
  7. C

    Arusha: Mbunge Lema anyimwa dhamana, arudishwa Magereza na kesi kusikilizwa tena 16 Dec

    Mbona nyie baba enu akija mnasimama barabarani siku nzima?
  8. C

    Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

    Mkuu nadhani hujui unachokiongea,bora ungekaa zako kimya tu kuliko kutuchokonoa wakati bado tuna hasira na uchakachuaji na ubabe mliofanya.
  9. C

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    Hicho kipindi asipokuwepo PJ kinaboaga sana,ki ujumla namkubali sana kwenye uchambuzi wa magazeti jamaa sio tu anajua huwa anajipanga,hawa wengine wana ustaa wao sehemu nyingine lkn kwenye magazeti nisipomsikia PJ najua hamna kitu.Mara nyingi huwa ananichelewesha kazini sababu ya kumsikiliza...
  10. C

    Najuta kutongoza wanawake wa Dar!

    Mkuu we subiri upigwe tisini,wanafunzi 2 @30 na mwanachuo 1 30 = 90 nadhani km unamiak 20 ukitoka 110,naona km utafia jela.Waage ndugu zako kabisa.
  11. C

    Hatimaye Dr. Slaa aonekana, asema kuzungumza muda ukifika

    Malizia tu kabisa sema kiboko la "Magamba".
  12. C

    Urembo wa nywele, mitindo mbalimbali ya kusuka na kunyoa

    Nywele ni mapokezi a.k.a reception ndo unaona kwanza unavutika ndio ushuke kdg kifuani alafu kiuno,bambataa lilivyokaa sio alimradi tu then uanamalizia kwenye ulegi.Sasa ukicheki hivyo vitu uka compare na home km ulilipua ndo chanzo cha ndoa kupata shida.
  13. C

    Aina za rangi za "pichu" za mwanamke na maana zake kwa mwanaume

    Hapo mi sipati picha kitu kinavyopigwa hewa,manake uko uchi na kwa stahili ukikatiza uswahilini kagiza kakiwa kameingia watoto wa mbwa hawapati shida sana.
  14. C

    Edo Kumwembe ni nani?

    Edo ni kifaa,binafsi huyu jamaa namkubali sana kwenye ulingo hasa wa kispoti.Kwa ujumla ni mweledi kwa kile anachokiandika katika makala zake za magazetini lkn hata ukimsikiliza kwenye uchambuzi wa michezo na hasa soka utagundua jamaa habahatishi. Sina maneno mengi ya kumuelezea jamaa zaidi ya...
Back
Top Bottom