Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

Hapa hoja ni kupeleka mapambano na mageuzi mbele. Tunataka mfumo unaoweza kuleta serikali mbadala au kuipa serikali changamoto. Mbowe amefanya kazi kubwa na ndio imefikia hapo. Fursa tulikuwa nayo ni kubwa. Licha ya kushinda kwa majimbo mengi zaidi lakini kuna maeneo majimbo pia yamepotea. Lazima sababu zitakuwepo.
Kwahiyo kuonyesha ukomavu wa demokrasia kwamba lengo la chama ni kuongoza nchi na si Halmashauri, mh Mbowe angewapisha wengine watakaobadilisha na kukisukuma chama mbele kwa kasi.
 
Mbowe ni Shujaa wangu.

His perfomance has exceeded our expectations by far.

Hat off to FAM and Ukawa Team.

Tuambie vigezo vilivyokufanya useme hayo hapo juu. Mbowe ameproove failure kwenye maamuzi yake mengi.
 
Tuambie vigezo vilivyokufanya useme hayo hapo juu. Mbowe ameproove failure kwenye maamuzi yake mengi.

This is blanket assessment; sasa wewe ndio umekuja na vigezo? ume-base wapi asessment.Unageneralize tu km mtu wa kijiweni
 
Kweli m/kiti chadema ajitathimini ajione kama anafaa kuendelea mungu ampe busara na hekima
 
..mbowe ataendelea kubakia m/kitiwa Cdm mpaka wana chadema watakavyoamua vinginevyo, na sio kuamuliwa/kushauriwa na ccm, never.

Alishasema uchaguzi ujao wa chama hagombei! mbona mnamsakama.
 
..mbowe ataendelea kubakia m/kitiwa cdm mpaka wana chadema watakavyoamua vinginevyo, na sio kuamuliwa/kushauriwa na ccm, never.

historia ya upinzani tz inaonyesha wazi cdm imefikia kikomo haina uwezo wa kusonga mbele itarudia enzi zake za chama cha brief case
 
Hebu tule takwimu uhalalishe hoja yako, 2010 Chadema walikuwa na viti vingapi vya ubunge na sasa vingapi, walikuwa na halmashauri ngapi na sasa ni ngapi, walipata %,ngapi za urais na sasa ni ngapi?
Mkuu nadhani hujui unachokiongea,bora ungekaa zako kimya tu kuliko kutuchokonoa wakati bado tuna hasira na uchakachuaji na ubabe mliofanya.
 
Wale wazee wengine wametikiswa wakatisikika kama miti wakati wa upepo mkali. Mbowe! ni kiongozi imara. Hata CCM inajua hilo. Hakuna asiyejua hilo pia wote tunajua ni shujaa wa kweli ktk historia ya Tanzania.
 
Mtoa mada kuna vitu anavikosa kwa uwepo wa Mbowe ndo maana hawaoni akina Dovutwa na akina Rungwe kwenye vyama vyao na pia kuna unfiki anataka kuupenyeza ndani ya CDM lakini kikwazo ni Mbowe
 
Mleta uzi ananifurahisha sana maana kila akija kutoa mada lazima aseme cdm utadhani hakuna vyama vingine
 
ruzuku imeongezeka sasa


mnataka mbowe aondoke madarakani?? mnaumwa nyie


haondoki pale kwa miaka 20 ijayo.......na atatoa sababu

sababu za mbowe eti kafikisha chama hapo, ni zile zile za CCM kuwa imejenga barabara................watanzania wote mna matatizo si CCM si wapinzani kama chadema!! mnafaa kuwa case study!! ha ha


mbowe ana vijana wake humu, anawalipa ambao watamtetea kwa gharama zozote zile


ukombozi uanzie kumtoa mbowe madarakani.....kisha ndio mje tume huru ya uchaguzi, mmalizie na CCM
 
Naunga mkono hoja kwa 100%
Mbowe ndiye mwenyekiti wa mioyo yao!! Ila hawachelewi kubadilika hawa manake Dr. Slaa alikuwa Rais wa mioyo yao lakini ghafla akaanza kuitwa Dr. Mihogo!!

Mbowe amefanya kazi sawa, lakini kuwa mfalme hakufai. Mawazo mbadala muhimu. Watu wanataka mabadiliko lakini kwao hakuna mabadiliko!!!
 
Wew unautani na chama cha watu ataeleza nin familya ya baba mkwe ,achani kuchezea kazi za watu
 
We ccm yakwako yanakushnda unataka kuamia ukawa,utayawezea wap?
 
Mbowe ndiye mwenyekiti wa mioyo yao!! Ila hawachelewi kubadilika hawa manake Dr. Slaa alikuwa Rais wa mioyo yao lakini ghafla akaanza kuitwa Dr. Mihogo!!

Mbowe amefanya kazi sawa, lakini kuwa mfalme hakufai. Mawazo mbadala muhimu. Watu wanataka mabadiliko lakini kwao hakuna mabadiliko!!!
mawazo mbadala mnayataka ninyi wa CCM. Mbowe ni mwenyekiti wetu halali hadi muda wa kipindi chake kitakapokwisha
 
Back
Top Bottom