Unaposema pambo una maana gani? Kwamba watu na mizigo haifiki inapokwenda?
Vipi speed ya gari (Iwapo ungejenga barabara kama unavyosema) inafanana na speed ya sgr? Nadhani una mawazo ya kimasikini! Tunapaswa kwenda na wakati!
Nadhani nakuelewa! Aliitwa lucifer akiwa upande wa utakatifu lakini alipohasi na kufukuzwa toka upande ule wa watakatifu alibadilishiwa jina na kuitwa ibilisi, joka, shetani!!
Una uhakika gani kina Msigwa walikuwa wapinzani 100%!! Kuna watu mapandikizi ya CCM wapo upinzani wakikitumikia chama bila wapinzani wenyewe kujua! Wanaporudi nyumbani kama mwana mpotevu alivyorudi tusiwashangae sana badala yake tufanye nao kazi!
Ukweli mchungu ni kwamba sisi ni mijitu mivivu sana katika suala zima la kuongeza maarifa kwa njia ya kujisomea vitabu! Ukitaka ugomvi na mtanzania, mwambie asome vitabu!
Kwa habari ya wanawake wa kijita nikushauri kuwa positive! Kama wewe ni mjita rudi ujitani ukaelimishe wajita wenzio kuachana na mila na desturi hizo za hovyo! Usipoteze muda na nguvu zako nyingi kununa badala yake wekeza muda na nguvu zako kubadilisha mila na desturi zenu!
Kwa upande wetu...
Unajua ada zao lakini? Isije ikawa wao ndiyo wanaongoza kwa upuuzi huo sema indirectly! (Hii ni kwa hoja kwamba watoto wanakalishwa muda mrefu shuleni kama sehemu ya shule kujiongezea kipato!)
Kwahiyo hapa tunapoongea wewe ni mkimbizi wa kisiasa na upo ulaya? Hoja yangu ni, je, upo ulaya hivi tunavyoongea? Sidhani kama wapo tayari kusafirisha slaves from Tanzania!! Naona kama uwezo wao kifedha unazidi kupungua kadri vita inavyozidi kusonga mbele!
You are not a fighter! You are a slave! Ungekuwa fighter unge fight against slavery unayoizungumzia (yaani iliyopo hapa kwako)! Kama ukienda kupigana kwa manufaa ya wa'Ukrain' you are still a SLAVE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.