mwanaone asante kwa kujenga hoja,,,,sijaona hata mchangiaji mmoja aliyetoa hoja ya kupinga/kusafisha Mh Lema. wadau toeni hoja si kutukana na kutafuta wapi mtoa mada kakosea,,,ndo mana hapa JF ni pahala pa GREAT THINKERS,, km wewe unamahaba na Lema mwite ukanywe nae chai,,lkn alichokileta mtoa...