Siasa zitengwe na uhalisia!!
Awamu iliyopita(awamu 2) watu walikuwa wanalaumu serikali haiboreshi miundo mbinu na ndio iliyokuwa siasa yao ila sasa kapatikana Rais kawasikiliza anapambana miundo mbinu ikae sawa kwa kiasi kikubwa japo sio yote sasa wapinzani wanawalisha watu sumu eti nchi haina...
Ni madirisha expensive sana, ila hawa wengi tunaoyasemea ubaya ni kwa sababu wengi hatuna nyumba na pia kuna kikundi kikubwa kimejiunga JF kina majibu ya hovyo hovyo ila basi waonekane wamechangia uzi
Paula Paul, Tatizo sio friend zoned men, ishu ni wanawake kutaka treatment za ki mahusiano kutoka kwa friends yet wao hawataki wawe wapenzi , mnakwama wapi! ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.