Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Actually mimi naamini ili tatizo ukubwa wake ni wa kufikirika zaidi limekuzwa zaidi ya uhalisia wake hivyo kupelekea hofu kubwa kwa wanaume wengi ambapo ukiwa na *Appoitment" na mtu wako na una hofu kitu ambacho tayari inatakupa msongo wa mawazo (Sijui itakuaje nikishindwa,sijui nitaweza kweli,nikishindwa itakuaje n.k) Mpaka hapo tayari ni kikwazo (- Ve checkpoint).
 
New member,Mama yangu ananiambiaga we huwajui wanawake...

Mwanamke ni hatari hapo unajiona kidume.. Ngoja siku mgombane akwambue una kibamia uone utakavyo nywea..
 
New member,
Naunga mkono hoja. Hii story yako haitofautiani sana na yangu ila kwenye nyeto tu sijafanya, ila mengine ni vile vile.

Nilichogundua, mwanamke anamchango mkubwa sana wa kukufanya ujione hufai na kukuathiri kisaikolojia au kujiona we kidume na kuwa man of the match kila siku.

Ushauri: angalia mwanamke unaekutana nae, akiwa amekubuhu itakula kwako, kwasababu hakawii kukuambia, kah mara hii tu umemaliza. Ukishaambiwa hivyo tayari keshakuroga hutaweza kuperfom tena. Ila mwanamke anaekutia moyo hata kama umevuruga huyo ndiye..
Nikiwa na denti yangu seconds hazipiti vyema jamaa hao. Lakin nikajipumbaza kuingia chaka kujitafutia pahala pengine yaani hapa mpaka demu akaniambia sijawahipo hatasikumoja kukutana na hali hii yakufanya kwa muda mrefu. Muito doce doce doce kkkkkk.
 
Nimesoma weeee natafuta ilikuwaje kwa mkeo nimekosa....ngoja nilale
Mke wangu alikuwa mjamzito, alienda kwao kujifungua na sasa anamtoto mchanga, bado hatujapata mazingira mazuri ya kufanya kwa maana bado yupo kwao, (mkoani)
 
hongera sana kijana mwenzangu kwa kulitambua hilo mapema...nadhani ulichokiandika ndio suluhisho sahihi....maswala ya ngono yapo kwenye saikolojia tu...siamini kama kuna upungufu wa nguvu za kiume kwa vijana wanao jichua ila kwa ugonjwa inawezekana...

umeandika kitu kiutaalamu zaidi watu wakizingatia naamini...ugonjwa huu unaokuzwa utakuwa umefikia mwisho...!
 
Back
Top Bottom