Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,886
- 19,204
Nadhani kama ana umuhimu zaidi ya kupiga stories then hayo mengine yanaweza yasitokee maana mtakuwa na ya kuongelea zaidi ya private life especially relationships/sex ambazo ndizo kichocheo kikubwa.
By the way kutamani ni asili lakini kuruhusu tamaa zikutawale ni ukosefu wa nguvu ya akili na wabongo wengi sio futuristic bhasi wakila wakishiba ni ngono. Huo urafiki hauwezi kuwepo kwa hali hiyo
By the way kutamani ni asili lakini kuruhusu tamaa zikutawale ni ukosefu wa nguvu ya akili na wabongo wengi sio futuristic bhasi wakila wakishiba ni ngono. Huo urafiki hauwezi kuwepo kwa hali hiyo