Recent content by changu ni changu

  1. C

    Tatizo la Haja kubwa kuwa cheusi

    Kunapokuwana mada muhimu, uwe inaacha ushenzi
  2. C

    Sabuni za Kigoma zinapatikana

    Mpo sehemu gani
  3. C

    Makapuku Forum

    MAkapuku oyeeeee
  4. C

    nahitaji mpenzi wa kike anienzig, nimuenzi.

    Wa kwanza au hats wapili Nipe yoyote
  5. C

    Maana ya subsistence allowance

    Ndugu wanaJamvi naomba mnipe ufafanuzi wa kina kuhusu neno subsistence allowance, na ina jumuisha posho gani za kijikimu.
  6. C

    Kuisha kwa Mkataba wa kazi.

    Nikweli Kk. Me niliwaomba hela tu ya usafiri wajazingua. Sasa hivi unaishi hapa bila allowances walanini.
  7. C

    Kuisha kwa Mkataba wa kazi.

    Habari zenu wanajamii. Wanajamvi Mimi nilikuwa naomba ushauri wenu, Mimi niliajiriwa na shirika LA wabelgiji waniajiria bukoba. Katikati ya mkataba wakanihamishia mtwara. Nilifika huku nikafanya Kazi miezi miwili mkataba wangu ukaisha tarehe 2 oktoba. Niliwaomba hela ya kunisafirisha Mimi na...
  8. C

    Sheria za Kazi: Uliza Ujibiwe

    Kiongozi habari za Kazi?. nilikuwa naomba ufafanuzi. Mimi niliajiriwa Bukoba na shirika moja la ubelgiji. Katikati ya mkataba wakanihamishia Dar, lakini kabla mkataba haujaisha nikiwa hapa dar wakanipa notice kwamba hawataniongeza mkataba, mkataba wangu umeisha tarehe 30 Septemba. Niliwaomba...
  9. C

    Fedha za nauli ya kulidi nikipoajiriwa na Fedha za kujikimu

    Wana Jamiiforum habarini za asubuhi!!Ndugu zangu nilikuwa naomba ufafanuzi. Mimi niliajiriwa Bukoba na shirika moja la ubelgiji. Katikati ya mkataba wakanihamishia Dar, lakini kabla mkataba haujaisha nikiwa hapa dar wakanipa notice kwamba hawataniongeza mkataba, mkataba wangu umeisha tarehe 30...
  10. C

    Nauli ya kurudi nilipoajiriwa na Fedha ya kujikimu

    Ahsante sana Remmy, je kuna muongozo wowote wa serikali kuhusu nauli za kwa mfanyakazi kwa kilomita kwa tank?
  11. C

    Nauli ya kurudi nilipoajiriwa na Fedha ya kujikimu

    Wana Jamiiforum habarini za asubuhi!!Ndugu zangu nilikuwa naomba ufafanuzi. Mimi niliajiriwa Bukoba na shirika moja la ubelgiji. Katikati ya mkataba wakanihamishia Dar, lakini kabla mkataba haujaisha nikiwa hapa dar wakanipa notice kwamba hawataniongeza mkataba, mkataba wangu umeisha tarehe 30...
  12. C

    Fedha ya kurudi sehemu nilipoajiriwa baada ya Kazi kuisha na kujikum kuondoka

    Wana Jamiiforum habarini za asubuhi!!Ndugu zangu nilikuwa naomba ufafanuzi. Mimi niliajiriwa Bukoba na shirika moja la ubelgiji. Katikati ya mkataba wakanihamishia Dar, lakini kabla mkataba haujaisha nikiwa hapa dar wakanipa notice kwamba hawataniongeza mkataba, mkataba wangu umeisha tarehe 30...
  13. C

    Naomba msaada wa kisheria kuhusu sheria ya kazi

    Je sheria anatakiwa kupewa hela ya kusafiri au anatafutiwa usafiri na mwajiri?
  14. C

    Naomba msaada wa kisheria kuhusu sheria ya kazi

    Je ana haki ya kulipwa Fedha za kumrudisha mahali alipoajiriwa???
  15. C

    Viwango vya posho za kujikimu Dar es salaam na Gharama za usafiri kurudi mahali nilipo ajiriwa

    Sawa kaka, Shirika letu halijajiunga na chama chochote cha wafanyakazi, nilipeleka madai yangu kwa barua wakazingua
Back
Top Bottom