nahitaji mpenzi wa kike anienzig, nimuenzi.

nahitaji mpenzi wa kike anienzig, nimuenzi.

changu ni changu

Senior Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
113
Reaction score
29
kama nilivyoainisha kwenye Title hapo juu, Ndugu wanaJF napenda kuchukua fursa hii kueleza dhamira yangu mbele ya wanajamiiforum kuwa natafuta na nahitaji mpenzi wa kike mwenye umri usiozidi miaka 25. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, nimemaliza Bachelor of commerce in Accounting katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM). kwa sasa nipo Kigoma nafanyia kazi NSSF. kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa namba yangu ambayo ni 0766149009. Natanguliza shukrani zangu zote kwenu wanaJF wa kike.
 
t3vZWd-sVmQ_2IrMC_kLFVWUTh9vQwOyJZKUrKj8ewu24IQLyciVmQ==.jpg ewS9Nhf8eemUrkvXMflrrsPMDXCajdESGGJKoxMkm4CjBnH_ntfKFQ==.jpg
unamtaka yupi hapo nikupe namba?
 
Duuu! Umri umeshakwenda, ukikosa ebu ongeza umri kiduchuu, halafu usisahau kua alokupita umri hasa akiwa mwanamke hua dawa, utajifunzaa mengiiiii...
 
Nahisi unafrastration au umepanic. Please JF hamna wake kuna michepuko, unless your not serious
 
Hapo nssf unacheo gani isije ikawa uko masijala halafu unatafuta mtoto classic ukamlishe migebuka!!
 
Mke jf? acha masikhara...hata namba utakazopewa ni za wake za watu, utaishia kutukanwa
 
kama nilivyoainisha kwenye Title hapo juu, Ndugu wanaJF napenda kuchukua fursa hii kueleza dhamira yangu mbele ya wanajamiiforum kuwa natafuta na nahitaji mpenzi wa kike mwenye umri usiozidi miaka 25. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, nimemaliza Bachelor of commerce in Accounting katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM). kwa sasa nipo Kigoma nafanyia kazi NSSF. kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa namba yangu ambayo ni 0766149009. Natanguliza shukrani zangu zote kwenu wanaJF wa kike.

Hapa JF yuko Miss Natafuta Vilevile yuko mdada naye anatafuta mme anavigezo vingi kimoja unacho labda utangaze vingine
 
Back
Top Bottom