Wataalam naomba mnisaidie.
Kuna ndugu yangu amegundulika na tatizo la Amoebiasis akaandikiwa Flagyl akaanza kutumia.
Siku ya pili akaanza kusikia tumbo linavuruga huku anajisaidia choo chenye rangi nyeusi, ni siku ya pili sasa.
Msaada tafadhali.
Kuna ndugu yangu amegundulika na tatizo la Amoebiasis akaandikiwa Flagyl akaanza kutumia.
Siku ya pili akaanza kusikia tumbo linavuruga huku anajisaidia choo chenye rangi nyeusi, ni siku ya pili sasa.
Msaada tafadhali.