Sawa, lakini kumbuka aliyelala akiamka utakitema ulichowahi kukila. na sasa tayari aliyelala keshaamka! hebu vuta kumbukumbu uchaguzi wa mkuu 2010 mwanza na shinyanga mjini. ambapo ilikuwa ni mikoa pekee tanzania iliyotazamwa kama mfano wa kuigwa, hasa kwa chaguzi zinazofuta. hebu angalia...
Unataka polisi wachukiwe mara ngapi na wananchi? kwani sasa wananchi wanafaidika nn kwa polisi kuua raia badala ya kuhakikisha usalama wao na mali zao? polisi waliotokomea na fuko la milioni mia mbili baada ya kufanikiwa kuwapokonya majambazi kule kariakoo juz juz nao ni walinda usalama wa raia...
Kisaikolojia, mtu akizoea kukudanganya,kisaikolojia ukajenga dhana kuwa huyo mtu ni mwongo,hutamwamini kwa jambo lolote. hata akisema ukweli hutamwamini. ccm walivyo wajinga hawajui kuwa si tu kisaikojia wanawajengea watanzania usugu wa kutoamini jambo lolote watalosema. bali pia wanasaidia...
pengine nape mwenye elimu ya chuo kikuu hata kujisomea huwa hajisomei. make angekuwa anachungulia vitabu hata kidogo,hangekosa kukutana na habari za kina henry ford,thomas edson, faraday n.k, ambao wengi wao hata darasa la saba hawakulimaliza. lakini ndo walioiweka dunia katika ramani ya...
kwa hyo unatushauri tukate tamaa au? pamoja na madudu, kuacha kufuatilia bungu hakutatatua matatizo yaliyopo. kutatua tatizo si kulikimbia au kulipuuza. bali ni kupambana nalo. kutokutendeka kwa haki bungeni tunajokuona bungeni tunapofuatilia kunaamusha ari au hasira ya kupambana na tatizo...
kama mpumbavu mmoja anasema suala la kuchinja liachiwe waislamu, kana kwamba hata kiti-moto watatuchinjia waislamu. kilaza mkubwa, kazi kusinzia bugeni tu haya magamba! na yakitoka usingizini yanakuja na ideas za kuku. shenzi sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.