Recent content by changanya

  1. C

    Kawambwa Amechakachua matokeo ya Darasa la 7 2012

    Yaani Katika mawaziri wasiowajali walimu Kawambwa ni nambari one. Wakati wa mgomo wa walimu alikuwa anatoa kauli za majigambo na vitisho kwa walimu. Sasa mbona ameshindwa kutangaza kazi halisi ya walimu waliyomfanyia kutokana na ujira anaowalipa?
  2. C

    Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

    Wanaowabeza walimu wasubiri hayo matokeo yanayompa Kawambwa kigugumizi cha kuyatangaza ndipo watajua faida za kubeza walimu. Hata hivyo kupanga ni kuchagua, kama tunaona elimu yetu iwe ya watu wanaomaliza D7 bila kujua KKK basi tuendelee kuwadharau walimu kwa nguvu zetu zote ili tuendelee...
  3. C

    Waziri wa elimu mbona hatangazi matokeo std vii ?

    Hivi huyu Kawambwa anataka mpaka watu waingie barabarani ndiyo atangaze matokeo. JK una kazi maana wateule wako hawakusaidii, hata kutangaza matokeo ni tatizo?????
  4. C

    Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

    Tunasubiri kuona wasiojua kusoma na kuandika maana maajabu ndiyo mfumo wetu wa maisha
  5. C

    Dakika 45 ITV na Philip Mulugo

    Akome na kiherehere chake cha kwenda kwenye vyombo vya habari kila siku. Acha aendelee kuthibitisha kuwa anatumia vyeti vya kuiba. Nadhani. anamshangaa JK kwa nini hajamtimua hadi leo hii
  6. C

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Aliyoyasema kwenye kipindi cha ITV yanaonesha jinsi gani alivyokuwa wa kwanza kwenye darasa la vilaza na ndiyo maana yeye ndiye kilaza pekee aliyefauku. Ha ha ha ha ha.
  7. C

    Mulugo: Nilifaulu peke yangu kwenda secondary

    Kipindi cha Dak 45 kimetoa nuru yoyote kuhusu jitihada za wizara katika kuboresha mazingira ya shule au kimefanikisha kuthibitisha ulilaza wa huyu jamaa anayetumia vyeti vya watu wengine. Kweli nimeamini Tanzania ni muunganiko wa Zimbabwe na Pemba na siyo "sleep" of tongue
  8. C

    Je, Mulugo analenga kuleta maendeleo ya Elimu au Kiujizolea Misifa tu?

    Nimesikiliza Kipindi cha Dak 45 ITV naibu Waziri one 1964 alikuwa anaongea pumba tupu. Eti watu wampugie sime kama kuna shule ambayo haijasajiliwa, hivi hiyo ndiyo kazi ya Waziri? atapokea simu ngapi? Kwa nini yeye kama naibu waziri asiletemikakati ya wizara hiyo nyeti kuliko hata nyeti zenyewe...
  9. C

    Dakika 45 ITV na Philip Mulugo

    Kwa mtaji huu yale mavuno ya div 0 Korogwe na kwingine yakawisha?
  10. C

    Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo adanganya tena

    Kwa mwendo huo tutafika kweli? Hao ndiyo viongozi wetu
  11. C

    Dakika 45 ITV na Philip Mulugo

    mhh, napita tu
  12. C

    Mulugo: Nilifaulu peke yangu kwenda secondary

    Jamaa linapenda misifa tu kilaza mkubwa kabisa
  13. C

    Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo adanganya tena

    Huyu jamaa ni mwongo sana anasema kuwa sifa za kidato cha sita ni kitu kipya wakati wizara ilitoa waraka mwaka 2010 na ndiyo uliotumika mwaka 2011 kuchagua wanafunzi waliochaguliwa kidato cha 5 waliangalia sifa hizo sasa inashangaza leo hii wizara inakana kuwa haina habari wakati kuna wanafunzi...
Back
Top Bottom