Recent content by Chanaiti

  1. Chanaiti

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Unasubiri nini si ukifukuze sasa?
  2. Chanaiti

    Mahusiano na mume wa mtu ni shughuli pevu

    You have said it all hun. Lazima uonekane una conflict of interest simply sababu ukweli wanaujua na hawapendi kuusikia. You can't be that cold afu upritend you are happy. Huwezi kufurahia maisha ambayo ndani ya nafsi yako ukijitafakari unajiona mjinga. Wakati mwingine tuupende ukweli maana...
  3. Chanaiti

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Yaani it's either of two:Samehe mke wako mrudiane if only inawezekana lkn.au tafuta mpenzi mwingine uanze upya lakini si huyo unayesema ye na mkeo walikua marafiki walioshibana kama ndugu. Huyo unaemwona mwema could be possibly dangerous than your wife usinulize kwanini. Ila...
  4. Chanaiti

    Naelekea kudhulumiwa mtoto, naomba mwongozo wenu

    Yaani mi nimesoma nikasikia hasira . Na imagine muhusika ana hali gani. Kiukweli mwenye thread u r such a wicked man n selfish I would ever heard mwee!Kuna mambo mnafanya hadi shetani anasema woow! 1.Una mke na familia lkn kwa ubinafsi wako kumrubuni binti ukafukuzia na mchumba...
  5. Chanaiti

    Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

    Wanawake sisi......!Mungu atuhurumie kwa kweli. Unakuta mtu anafanya juu chini avuruge ndoa ya mtu. Au anafahamu kabisa mtu ana mtoto basi mtoto ataonyeshwa mapenzi yote atapelekwa beach, atafanyiwa shopping. Jamaa anaona dah mke huyuapa Mungu kaniletea anapenda...
  6. Chanaiti

    Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

    Yaani machozi yamenitoka pasipo kutarajia. Pole sana aisee. Na hii ilikua ukiwa na umri gani? Dah!
  7. Chanaiti

    Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

    Hivi huu upendo uliopitiliza kiasi hiki mmeutoa wapi? Why are you so concerned na maisha magumu kama mnavyodai ya hao so called "wabeba box" kuliko hata mama na baba zenu wasiokua na maji safi wala umeme vijijini huko? Hebu acheni hizo!
  8. Chanaiti

    Soul ties au vifungo vya nafsi

    Kiukweli mmenibariki sana. Namshukuru aliyeanzisha thread hii na mliochangia pia. Ishmael Ubarikiwe mno na endelea kumtumikia Mungu na wote mliosaidia kimawazo . Nawashukuru mno.
  9. Chanaiti

    Udhaifu wa aina gani unawafanya watumishi wa MUNGU kuwa wazinzi?

    Nlimuambia jana akaniona mchungu. Ila huu ndo ukweli wenyewe. Hata afanyeje linamhusu tena directly.
  10. Chanaiti

    Udhaifu wa aina gani unawafanya watumishi wa MUNGU kuwa wazinzi?

    Ukinisoma vizuri na ukisoma ulichoandika ni kwamba wote tunakubali kuwa huyo jamaa kweli ni mtu wa totoz na AL alilijua hili swali ni kwanini ukubali kuwa katikati ya hili tatizo. Kwani asingetoa hiyo namba nini kingepungua. Huo ulokole uko wapi kama mtu...
  11. Chanaiti

    Udhaifu wa aina gani unawafanya watumishi wa MUNGU kuwa wazinzi?

    Alafu mtoa thread hakuna jinsi unaweza kuepuka lawama kwenye hili. Kwanini utoe namba ya rafiki yako kwa mtu ambae unajua tabia zake after all wote unawajua tabia zao. Na wewe unasema unasali kiroho utampaje namba mume wa mtu tena unaejua ana tabia mbaya...
  12. Chanaiti

    Udhaifu wa aina gani unawafanya watumishi wa MUNGU kuwa wazinzi?

    Elli umeuliza maswali ya msingi sana. Mimi pia nina wasiwasi na uhusiano ulioko kati ya AL na so called mtumishi.Alafu mtanisamehe kwa uzoefu nilio nao sasa hivi na hawa watumishi Kiukweli nitabakia hapa kwenye dhehebu nililolikuta wazazi wakiabudu nitajifunza...
  13. Chanaiti

    Ijue sababu ya wanaume kupendelea wanawake wa Kisabato

    Huwa sipendi kabisa kujudge wengine. Ila nakubaliana na wewe kwa asilimia mia. Na mwenye thread hii pls double check ndio uje na thread kama hii vinginevyo hiki ni kichekesho. Kiukweli wanafundishwa kula vizuri(organic) lakini wengi hawafwati sasa usitake kujua mengine wanayofanya lakini kwa...
  14. Chanaiti

    Asante mpenzi wangu wa zamani

    Pole sana ndito
  15. Chanaiti

    Asante mpenzi wangu wa zamani

    Mmh!Baadhi ya wanaume ni vichomi hunitaki si uniache tu. Unatengeneza strori tena ya ya kunitengenezea uhasama na mtu mwingine ambae nishamsahau ili iweje? Kuna kisa kiliwahi kunitokea cha staili hii japo tofauti kidogo. Ukimchoka mtu na huna sababu ya msingi mwambie tu kuliko kupika hadithi...
Back
Top Bottom