Pamoja na madudu ya wazi na unyanyasaji ambao umekuwa sehemu kubwa ya legacy ya CCM, wamejificha kwenye kichaka cha kuwa chama kilichoikomboa nchi na historia ya Mwalimu Hayati Julius Kambarage Nyerere kunufaisha wachache na kutumia nguvu kutisha wananchi na rushwa kununua wasanii wakubwa ili...
Nina mpango wa kuanza kufaulisha Ng'ombe Hadi Kenya, nimepata soko lakini naomba kujua bei ya Ng'ombe mwenye uzani hai wa kill >ya 400 ni shilingi ngapi na ninaweza kuwapata wapi.
Nitashukuru wadau
Kenya kuna Uhuru was vyombo vya habari .... Hata Uhuru Kenyatta huchorwa mwambie aje huku Kenya alifungie.... Dikteta ni dikteta ..Kenyatta anaambiwa ni mjinga na dunia bado inazunguka
DAR ES SALAAM
Tanzania's information minister was fired on Thursday after he criticised an ally of President John Magufuli who had stormed into a television station accompanied by armed men.
The sacking comes amid an uproar over the incident at one of Tanzania's main private broadcasters, seen...
Wengine mnaponda tu huyu dada hamna ushauri wowote... Fikiria una wadogo zako wa kike huenda ndio wanaofuata... Au mtoto wako wa kike .... Kuni juu ya uchaga hucheka iliyo Motoni. Ukweli wa mambo Dada ana nia njema baadhi yetu tunajifanya watakatifu afadhali Huyo mwenye mtoto kuliko mafuska na...
Hili Sakata lingekuwa Kenya mwanaharakati kama Okiya Omtata au Boniface Mwangi au mwananchi yeyote angefungua kesi mahakamani kwa challenge uteuzi huo kwa misingi ya tuhuma hizo... Kwa sababu katiba inaruhusu mwananchi yeyote kufungua kesi dhidi ya afisa wa Umma... Mnachotakiwa kufanya kama...
Hili Sakata lingekuwa Kenya mwanaharakati kama Okiya Omtata au Boniface Mwangi au mwananchi yeyote angefungua kesi mahakamani kwa challenge uteuzi huo kwa misingi ya tuhuma hizo... Kwa sababu katiba inaruhusu mwananchi yeyote kufungua kesi dhidi ya afisa wa Umma... Mnachotakiwa kufanya kama...
Hili Sakata lingekuwa Kenya mwanaharakati kama Okiya Omtata au Boniface Mwangi au mwananchi yeyote angefungua kesi mahakamani kwa challenge uteuzi huo kwa misingi ya tuhuma hizo... Kwa sababu katiba inaruhusu mwananchi yeyote kufungua kesi dhidi ya afisa wa Umma... Mnachotakiwa kufanya kama...
Uhalifu ni jambo la kupingwa kwa nguvu zote lakini kulemaza ukuaji wa uchumi kwa kisingizio cha usalama ni makosa... Kwa muda mfupi nilioishi Dar es salaam nilishangaa kwamba usafiri wa mabasi ni marufuku usiku yaani baada ya saa nne usiku... Tafakari ungeruhusiwa kuondoka Dar saa kumi jioni...
That is the difference between Kenyans and Tanzanians..... Serikali imewaweka wananchi hofu na woga usio kuwa na msingi nao bila kuhoji husema naam... Ndiyo.... Abe.. Sawa.... Nilishangaa pale Waziri Mpango alijaribu kuutakasa udikteta kwa madai kwamba nchi nyingine kama vile Malaysia, Singapore...
It is wrong for a Tanzanian to pay for goods or services in Tanzania in USD. Agile za kibinafsi zinatoza ada kwa dola ila wanawalipa waafrika mshahara kwa Tsh name wazungu wanalipwa dola huu ni ubaguzi wa sarafu na rangi pia....
Aisee wewe ni mtoto na unataka mtoto mwingine miaka 18 akuzalie mtoto msaidiane kulia acha upuzi maliza chuo tafuta kazi jenga Nyumba ununue mackochi na baiskeli kama huwezi kununua bajaji uwe na angalau milioni 10 akaunti uanze kufikiria kuhusu kupata mtoto unasumbuliwa na utoto au kweli kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.