Recent content by Chamalama

  1. Chamalama

    Wanaomba ajira TAMISEMI kwa mfumo wa ''OTEAS'' tukutane hapa

    Nikitaka kuregister pale mwisho niki-click save inasema "unauthorized user"
  2. Chamalama

    Wanaomba ajira TAMISEMI kwa mfumo wa ''OTEAS'' tukutane hapa

    Naregister inaniamnia unauthorized user
  3. Chamalama

    Dstv wapandisha bei ya vifurushi kuanzia Septemba 1 mwaka huu

    Angalia ligi ya Zambia, ndo utajua kama Dstv ni wa kawaida tu. Nadhani South Africa kuna resources zimeongezwa.
  4. Chamalama

    Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

    Kama utaajiriwa fuata maelekezo ya kazi. Pia jisomee mwenyewe vile ambavyo utahisi unavihitaji katika kazi yako. Tafuta maandiko ambayo ni maalum kwa profeasionals, watu ambao wako kazini, maandiko ambayo yako simple. Yaani ukiwa kazini usisome tu andiko eti kwa sababu ni la field yako maana...
  5. Chamalama

    Hivi ushabiki wa Blackberry phone uliishia wapi?

    Shukran Chief, ngoja nicheki
  6. Chamalama

    Hivi ushabiki wa Blackberry phone uliishia wapi?

    Natafuta Balckberry Classic mpya, mwenye nayo au anayejua ninakoweza kuipata anijuze. Natumia Nokia tochi kwa sasa baada ya Samsung yangu kufa, najua nitakosa apps kadhaa (ikiwemo whatsapp mwezi Juni) ila naona hasara pesa yangu kununua simu ya android tena. Nikihitaji Whatsapp nitanunua simu...
  7. Chamalama

    Nashindwa kuelewa utajiri wa Software developers

    Suala ni kwamba, mwanzilishi/mmiliki wa Facebook, Mark Zukerberg, kuwa tajiri zaidi ya mmiliki/mwanzilishi wa Toyota haina maana kwamba Facebook ina thamani kubwa (au inaingiza pesa nyingi) zaidi ya Toyota. Fikiria hii: Mwanzilishi na rais wa kampuni ya Huawei Technologies Co., Ltd., Ren...
  8. Chamalama

    Biashara ya teknolojia: Whatsapp inatengeneza vipi faida?

    Unachoongea hakina ukweli. Hizi biashara haziendi hivyo unavyofikiri. Bado una nafasi ya kujifunza.
  9. Chamalama

    Biashara ya teknolojia: Whatsapp inatengeneza vipi faida?

    Unajua sana mkuu. Wamenunua (millions of) user base , ndio maana sasa wanataka ku-share contacts (za wale watakaokubali) na fb, kuna kitu watafanya ambacho kitawaingizia billions.
  10. Chamalama

    Samsung wazindua simu ya tizen yenye 4g kwa $68

    Katika pitapita zangu huko mitandaoni inasemekana hizi ni hatua za mwanzo za Samsung kwani ina mpango wa kuachana na Android siku za baadaye. Pia kuna mtu mwingine akaja na hoja kama hiyo akisema hata Nokia wanarudi wakiwa na android halafu baadae wataiacha taratibu kwa kuwa watakuwa...
  11. Chamalama

    Tigo 4g ( 1 )vs halotel 3g( 3)

    Faida ya Halotel ni kupatikana maeneo mengi kwa spidi ya kawaida. Kwa mfano ukiwa unatoka Moro kuja Dar, hata ukiwa porini kama mtandao wa halotel upo basi ni 3G, wakati hawa wengine 3G unaiacha Moro mjini. Pia mitandao mingine inachagua sana maeneo, yaani katika mji mdogo tu, ukiwa mtaa huu 2G...
  12. Chamalama

    Samsung wazindua simu ya tizen yenye 4g kwa $68

    Kwenye store ya Tizen ya apps kuna apps zinazohitajika na wengi kama Whatsapp? Maana kwa hapa Tz (nadhani na nchi nyingi za sub-sahara) kuna watu wengi ambao wao hitaji lao kwenye smartphone ni Whatsapp tu, yaani hawajui kuhusu android, iOS wala Windows mobile. Simu ikiwa na Whatsapp au anaweza...
Back
Top Bottom