Asilimia kubwa ya watu wa Marekani ni wahamiaji. Watu wa asili wa nchi hiyo ni Wahindi Wekundu, wazungu walihamia huko na kuwaua hao Wahindi ili kupata maeneo ya kuishi. Kwa mantiki hiyo basi, kati ya wahamiaji wote, ni wale wenye asili ya wazungu ndo wamesoma sana hizo degree.sio wewe tu, wanasema hata huko marekani kati ya wahamiaji wote, watu weusi wenye asili ya afrika ndio wamesoma (shahada etc) kuliko watu wenye asili ya china, india etc lkn hawana impact yoyote...
we maliza tu utafanikiwa...
ila baada ya chuo, amini ndio unaanza elimu
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
Dah pole sana mdogo wangu. Nahisi you have been psychological tortured na hili jambo kwa mida mrefu. Inawezekana kipindi cha nyuma ulikuwa vizuri na ulikuwa na vision ya what kind of man you wanna be hapo baadae ika kuna jambo linakusumbua linalokukatisha tamaa ya maisha yako academically. Nakushauri uende kwa kiongozi wako wa imani I mean kama ni mchungaji au shekhe nenda mueleze nae atakupa angalizo.Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
polemtaani nina title kubwa kumbe kichwani hamna kitu
wanafunz wengisana waliohitimu f4 f6 kuanzia 2000 mwaka huo had I sasa wako hivyo...TATIZO KUBWA SANA HILI NCHINI.
LAKINI SIDHAN KAMA UPO EMPTY
KABISA... MALIZA CHUO WALA USIACHE ... UKIFIKA MDA WA AJIRA NDIO UTAJUA KAMA KWELI WEWE HUJI KITU.... KAZANA KUSOMA ..
KWAHERI
Post zako Jf ni kielelezo tosha cha wewe ni naniNipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote.
Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima.
Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.
Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu.
Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani , lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wao wana mwangaza kuliko mimi.
Baada ya kujua English, soma vitabu vya aina nyingi na vihusuvyo mambo unayopenda. Vitakufungua kwenye suala zimaa elimu.Acha woga Dogo hata maprofesa wetu wapo kama wewe chamsingi jifunze ujue English tu tayari utakuwa bonge la msomi kila MTU atakusujudia
Anakariri ameshasema, so kwenye paper hanaga mchezo mwendo wa kumeza madudeUnahitaji Maombi sijui ulipitapitaje huko kote
Unawaza ajira etiTATIZO KUBWA SANA HILI NCHINI.
LAKINI SIDHAN KAMA UPO EMPTY
KABISA... MALIZA CHUO WALA USIACHE ... UKIFIKA MDA WA AJIRA NDIO UTAJUA KAMA KWELI WEWE HUJI KITU.... KAZANA KUSOMA ..
KWAHERI
Aisee hata me nimeshangaa...au hayuko makiniumesoma pharmacy tena chuo kikubwa namna hiyo na haujui ulichosomea, utawapaje watu dawa sasa? basi upelekwe milembe unaweza kuwa hujui kama wewe ni chizi.
