Nashindwa kuelewa utajiri wa Software developers

Nashindwa kuelewa utajiri wa Software developers

Ili kupata jawabu la swali lako unatakiwa ujiulize kwanini....unalazimika kununua kifurushi cha intaneti ili wewe uweze kuperuzi kwenye hiyo mitandao.....??!!!

Ukishajua sababu ya wewe kulipia hiyo huduma ya mtandao ndio....alafu ujiulize ni watu wangapii wanafungua hyo mitandao kwa siku moja na kwa pesa.....
Hapo ndipo utakapopata kujua kuwa hao jamaa wanapataje utajiri kwa wewe kuchungulia kwenye mitandao yao.....!!!??
 
Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.

Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.

Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.
sababu kubwa ni kwamba software inawafikia watu wengi zaidi.

chukulia mfano app za google na Htc 10.
-htc akiuza simu 1 inamfikia mtu mmoja analipa mara moja mumemalizana akiuza sana ni simu milioni 1 na kila simu dola 600 mwisho wa siku ana mapato dola milioni 600
-app ya google inakuja na simu ya android zinauzika simu kama bilioni moja kwa mwaka, nenda playstore utaona app za google nyingi zimedownloadiwa zaidi ya mara bilioni 1 akiwa na app 20 na akipata kila app dola 1 tu basi ana dola bilioni 20 kwa mwaka. ili apate dola 1 kwa mwaka anahitaji umuingizie shilingi 6 tu kwa siku, hivyo ukiclick tangazo moja akapata shilingi 20 ujue hapo tayari umempa hela nyngi sanaa.

kuhusu bill gate yule jamaa mapato yake si microsoft tu ana hisa hadi cocacola na makampuni kibao. zaidi ya nusu ya utajiri wa bill gates hautokani na microsoft soma zaidi hii kampuni yake ya uwekezaji
Cascade Investment - Wikipedia, the free encyclopedia
 
sababu kubwa ni kwamba software inawafikia watu wengi zaidi.

chukulia mfano app za google na Htc 10.
-htc akiuza simu 1 inamfikia mtu mmoja analipa mara moja mumemalizana akiuza sana ni simu milioni 1 na kila simu dola 600 mwisho wa siku ana mapato dola milioni 600
-app ya google inakuja na simu ya android zinauzika simu kama bilioni moja kwa mwaka, nenda playstore utaona app za google nyingi zimedownloadiwa zaidi ya mara bilioni 1 akiwa na app 20 na akipata kila app dola 1 tu basi ana dola bilioni 20 kwa mwaka. ili apate dola 1 kwa mwaka anahitaji umuingizie shilingi 6 tu kwa siku, hivyo ukiclick tangazo moja akapata shilingi 20 ujue hapo tayari umempa hela nyngi sanaa.

kuhusu bill gate yule jamaa mapato yake si microsoft tu ana hisa hadi cocacola na makampuni kibao. zaidi ya nusu ya utajiri wa bill gates hautokani na microsoft soma zaidi hii kampuni yake ya uwekezaji
Cascade Investment - Wikipedia, the free encyclopedia
Umefafanua vizuri sana
 
Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.

Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.

Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.
Suala ni kwamba, mwanzilishi/mmiliki wa Facebook, Mark Zukerberg, kuwa tajiri zaidi ya mmiliki/mwanzilishi wa Toyota haina maana kwamba Facebook ina thamani kubwa (au inaingiza pesa nyingi) zaidi ya Toyota.

Fikiria hii: Mwanzilishi na rais wa kampuni ya Huawei Technologies Co., Ltd., Ren Zhengfei, anamiliki chini ya 2% ya Huawei Technologies Co., Ltd.

Kwa hiyo inawezekana Toyota inaingiza pesa nyingi zaidi ya Facebook, ila ukija kwenye utajiri wa waanzilishi/wamiliki wake ikawa tofauti kutegemea na hao waanzilishi/wamiliki wanamiliki asilimia ngapi ya mapato ya kampuni zao.

Nadhani nitakuwa nimekujibu swali lako.
 
ukinunua laptop au desktop unalipia windows japo we hujui, labda ununue laptop ya dos au ubuntu. makampuni kama Lenovo, dell, hp etc humlipa microsoft kama dola 40 hivi kwa kila computer ya windows wanayouza. na ikiwa na windows kama pro, ultimate au enterprise bei huongezeka
Alafu dukani wanatuambia ina "windows ya bure" daaah!!!
 
utajiri wa hawa jamaa kwa kiasi kikubwa sana ni matangazo.
huko ulaya wanauza mbaya
 
Back
Top Bottom