Umenikumbusha nilishawahi kukaribishwa chakula af ikawa ugali na mtindi af mi mtindi sijawahi kuuelewa hata robo, aloooo nilipata wakati mgumu balaa
Wakawa wananiuliza mbona hauli😅
Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.