Recent content by Chalz03

  1. C

    Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

    Umepandia kahama? Wapiga debe sio watu😂😂😂
  2. C

    Chakula kipi uliwahi kutana nacho ugenini ukajutia ugeni wako?

    Umenikumbusha nilishawahi kukaribishwa chakula af ikawa ugali na mtindi af mi mtindi sijawahi kuuelewa hata robo, aloooo nilipata wakati mgumu balaa Wakawa wananiuliza mbona hauli😅
  3. C

    HALI YA STAND KUU YA MABASI YA MIKOANI, WILAYANI MA MAENEO MENGINE YA MKOA WA KAGERA

    Kahama? Na ukilinganisha na uzito wa hiyo manispaa ulivyo kwa upande wa usafirishaji
  4. C

    Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

    Huu uzi😂😂🙌 Nina kisa kimoja cha ajabu sana, sema wacha ipite😂
  5. C

    Mikoa gani mizuti kuishi ukiwa umeajiriwa?

    Mbeya, tukuyu Kila mtu si anakubaliana na mimi, eti wadau
  6. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    😂😂😂 Kwamba open wanasomea whatsapp
  7. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Sababu ya kusoma 7 years ni sababu ya chuo au nini
  8. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Kwamba cheti tu lakini kichwani unaweza kutoka mweupe
  9. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza kusoma.
Back
Top Bottom