ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Bukoba ni mji mkongwe apa nchini umekuwa na kufikia hadhi ya Munispal lakini pamoja na kuwa Munispal bado hakuna Stand inayoendana na Miji inayoendelea. Ni mji wenye soko kuu bovu kuliko masoko yote ya nchi hii kiukweli mji unapoteza sifa ya Nshomile miaka kadhaa imepita baraza la madiwa chini ya Mstahki Meya wa Bukoba Nd.Chief Karumuna alitaka kutuondokea kadhia hii na kuanzisha ujenzi wa stand kuu ya mabasi Kyakairabwa kama inayoonekana kwenye picha lakini muda ulipoisha tukaingia kwenye uchaguzi kilichofanyika mnakijua kwahiyo madiwani wote hawakurudi wakaingia Ccm ambao sass ni mwaka wa tatu mtawalia hawataki kumalizia stand kisa sifa zitaenda kwa Chama cha Chadema.
Nitoe Rai kwa Serkali hii ya CCM huo mradi umejengwa kwa fedha za walipa kodi tena kwa kutenga kiasi kidogokidogo kutoka kwenye vyanzo vya ndani ya mji wa Bukoba ninyi mmeutelekeza.
Je mnataka tugome kulipa kodi mfunge biashara zote?
Chondechonde tengeni fedha mmalizie mradi huu tuondokane na matope yaliyopo stand hii ya miaka 1947 imepitwa na muda.
Nitoe Rai kwa Serkali hii ya CCM huo mradi umejengwa kwa fedha za walipa kodi tena kwa kutenga kiasi kidogokidogo kutoka kwenye vyanzo vya ndani ya mji wa Bukoba ninyi mmeutelekeza.
Je mnataka tugome kulipa kodi mfunge biashara zote?
Chondechonde tengeni fedha mmalizie mradi huu tuondokane na matope yaliyopo stand hii ya miaka 1947 imepitwa na muda.