Recent content by chakati

  1. C

    Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

    Tatizo bado anaweza kutiwa hatiani kupitia kipengele cha umrikuwa chini ya miaka 18.Kwa mujibu wa kigezo msichana chini ya umri wa miaka 18 hana uwezo wa kuridhia tendo la ndoa.
  2. C

    Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

    Inauma Sana kuona kila tunapocheza na simba,tunafungwa Magoli ya kijinga! Goli la leo kipa haileweki alikuwa anaenda wapi!?
  3. C

    Kesi ya Tibaijuka na Sektarieti ya Maadili ya viongozi wa umma, Karimjee

    Hivi viongozi wa nchi hii huwa wanaondelewa akili na aibu au ili kuwa kiongozi katika nchi hii vetting yake huwa wanaangalia kama huna busara,mbinafsi na kila aina ya ujinga ndo wanapendekezwa?Hivi inakuwaje mtu unahojiwa kwenye chombo kikubwa kama Baraza la maadili,bado unatoa majibu ya...
  4. C

    SUMATRA huu sio upendeleo?

    Kwanini hakuna daladala zinazotoka njia yoyote kutoka wilaya ya Temeke zinazoruhusiwa kufika posta?Kama Kuna mdau wa Sumatra naomba maelezo,kama ni kuwafaidisha UDA,sasa inatosha!
  5. C

    Maximo inatosha sasa!

    Mimi huyu mtu nanona anatuharibia timu, kwanini anamng'ang'ania huyo Jaja wake, na kutukosesha ushindi, asituletee ubishi wa kiscolari hapa! Inakuwaje Tegete kafunga magoli mawili mechi iliyopita, jana anamweka benchi! muda anayopewa Jaja kucheza angepewa Tegete naamini Yanga ingekuwa...
  6. C

    Nyoshi Elsadat na Christian Bella nani mkali??

    Christian Bella in mkali sana!kwa kipindi hiki hana mpinzani.
  7. C

    Baada ya Mungu ni mzungu

    Wazungu labda tunalingana mavi tu,lakini wametuzidi kwa kila kitu,usipende kubisha,ili uonekane umebisha.
  8. C

    Wale waliosoma Lomwe sec/high school

    Dah nawakumbuka washkaji kama Mbonea Sadikiel,Rajabu Mwanyenza,IDDI ABUBAKARI,Ustaadh NURDINKipindi hicho head master KANGEROwacha kaka,maisha yalikuwa very nice down there.
  9. C

    Watumishi wa serikali amkeni sasa

    Kwa takribani miezi mitatu sasa mishahara imekuwa ikichelewa kuingia kwa ile tarehe iliyozoeleka,yaani tarehe 25,lakini kwa mwezi huu,imezidi,hadi leo tarehe sita watu hawajalipwa mishahara yao ya mwezi wa tano,na si waziri wa utumishi wala katabu mkuu kiongozi aliyetoa taarifa kwanini hali hii...
  10. C

    Kuna mtu/mwananchi atatapeliwa kuanzia jumatatu

    Wadau kuna matapeli wamepanga kumtapeli mwananchi nisiyemfahamu zaidi ya tshs.mil.200 kwa kujidai ni waganga na watampatia utajiri,na mwananchi huyo ameamini anakaribia kuwa bilionea akitoa kiasi hicho.Tatizo simfahamu mwananchi huyo,wala anapoishi,ningejitahidi kumuokoa.Hao matapeli niliwasikia...
  11. C

    Sipendiii!!

    Ndo nilichokifanya mkuu,yaani ndio zao la huu Uzi.
  12. C

    Sipendiii!!

    Sio hivyo mkuu,yaani kaja yupo online whatsup!bora ningeanza kuongea,ndio akaanza ningesema nimemboa may b.
  13. C

    Sipendiii!!

    Tabia ya msichana/mwanamke,siku ya kwanza mnakutana kwa maongezi,anafika eneo la tukio,lakini anakuwa busy na kuchati,yaani hata mistari unayomshushia inakatikakatika!badilikeni bhana,tabia hiyo sio,yaani ni kama wale wanaosoma gazeti wakati wa majamboz!
  14. C

    Ni sahihi kwa mtumishi wa umma kwenda kufanya ibada muda wa kazi?

    Wadau naomba kujuzwa endapo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuacha au kufunga ofisi,na kwenda kuswali au kusali.Kwa wake wenye uelewa wa kanuni za utumishi,nitafurahi kuelimishwa.
  15. C

    Tanzia: Omari Changa hatunae

    Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.
Back
Top Bottom