MASWAHIBU KATIKA IDARA YA UTUMISHI WA WALIMU (TSD)
Idara mojawapo inayokumbana na maswahibu mazito kutokana na hali hiyo ni idara ya utumishi wa walimu ambayo inazo ofisi hadi ngazi ya wilaya. Idara hii hasa Ofisi za TSD (W) na TSD (M) zinaongoza kwa uduni, yaani ni Ofisi ambazo hazina mwonekano...
Kama watumishi wa kada nyingine mishahara yao hata haifiki nusu ya nadaktari afu madaktari wenyewe wapo kwenye mgomo kwa nini watumishi wa kada nyingine tusiungane na sisi tudai haki yetu...au ndo kusema kuwa tukeridhika na hii hali?
Kama katekwa na amebahatika kupona hajafa!!!!!!!! basi hakuna haja ya kuunda chombo cha uchunguzi kwani huyo aliyekuwa amemuita anamkumbuka ni kumtaja tu na akamatwe naye atataja wenzake na waliomtuma.
TSD,TSD,TSD,TSD.......TSD NI Idara ya Utumishi wa walimu ya Ofis ya Rais Tume ya Utumishi wa Umma kwa mamlaka iliyopewa na kifungu 6(4) cha sheria ya Utumishi wa Umma Na.8 ya 2002 ni mamlaka ya ajira kwa walimu wote walio katika utumishi wa Umma.KWANZA NIULIZE SWALI KWA MH.Rais hivi ni kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.