dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Shirikishi la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA limetangaza kuwa kama serikali haitapunguza kodi na kuongeza kima cha chini cha mshahara na kufikia laki 2 watahamasisha mgomo nchi nzima na hautakuwa na kikomo mpaka kieleweke.
Concern.
Tucta nao wasipige domo tunataka action kama swala la kupunguza kodi PAYE serikali imegoma ila kuwafutia kodi na kuwapunguzia wafanya biashara sawa tu huu ni upuuzi na udhaifu kwa serikali ya CCM
Concern.
Tucta nao wasipige domo tunataka action kama swala la kupunguza kodi PAYE serikali imegoma ila kuwafutia kodi na kuwapunguzia wafanya biashara sawa tu huu ni upuuzi na udhaifu kwa serikali ya CCM