Hivi JK anaudharau moto wa mabua kuwa haunguzi nyumba au? Aangalie sana kwa ni hakuna sababu ya kuingia gharama ya mafuta au gesi kuchoma banda la mabua!
Mkuu waweza kulipia kwa tigopesa kwenye cm yako kwa namba *150*63# kisha fuata maelekezo. Hakikisha unakuwa na namba ya smrt card yako karibu maana utaulizwa kuingiza.
Star Times nilitarajia mtakuwa mkitujibu shida zetu kwa wakati ljn naona mko kimya sana sijui huu uzi mliuweka wa nn kama...
Yaelekea DC anajua kuwa kuna watu ambao wameandikishwa wasio watanzania. Kama ni watz kwanini visitumike kama vitambulisho halali? Ukizingatia kuwa RITA haijaweza kutoa vitambulisho vya uraia kwa kiasi kikubwa kama ilivyo kwa vitambulisho vya kupigia kura.
Mh. Rrondo kwani wana JF hawawezi kutoa ushauri wa kisheria kupitia jukwaahili? Mimi sioni sababu ya kumshauri mleta mada ahamie jukwaa la wanasheria. Acha wanasheria watupe ushauri kuhusiana na thread hii.
Ni kweli kabisa ndugu yangu. Unakuta mfanyabiashara ndogondogo anayelipa kodi mara moja kwa mwaka na pengine asilipe anatambuliwa na TRA kama mlipa kodi lakini mfanyakazi ambaye kodi yake inakatwa kila mwezi hata kabla mfanyakazi huyo hajapokea mshahara wake hatambuliki. Viongozi wa vyama vya...
Ningekuwa mimi ndio mwenyekiti ningeamuru jina la mwanangu litolewe kwenye orodha ya wagombea kisha niendeshe kikao ili kurudisha imani kwa wanachama wetu kuwa chama chetu si cha kurithishana.
Hayo ni mawazo yake na wala si ya ccm. Utakuwa mwendawazimu kama utashindwa kuitambua kazi iliyofanywa na Dr. Kitima! Ni fadhila zipi anzozitarajia kutoka kwake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.