Lecture za bure, kwa wanavyuo wote

NullPointer

JF-Expert Member
Feb 7, 2011
3,461
2,273
Lectures nzuri sana kutoka katika vyuo mbalimbali duniani hua zipo online, as Tanzania siku hizi inazidi kudevelop katika swala la Internet, nadhani ni muda mzuri kutumia nafasi hii katika elimu pia. Vyuo vikubwa duniani kama MIT, Harvard, Stanford, SNU etc vina kitu kinaitwa Open Course Ware, ambapo lecture zao zote hua zinarekodiwa kwenye video, na handouts zote walizopewa pamoja na mitihani hupostiwa online kumpa nafasi mtu yeyote yule duniani kuweza kuzitazama bure. Unafanyaje?
Ni rahisi, Unafungua website, then unachagua course unayoitaka, mfano ninasoma Computer Science, sijui programming kabisa, then naweza kufungua course ya Introduction to Computer Science Harvard, au ninasoma Uchumi, niko mwaka wa kwanza, naweza fungua Introduction to Economics say MIT mfano, na nikafuatilia course waliyofundishwa semester nzima, video na handouts zote na mitihani yote waliyofanya. Swala ni kuongeza knowledge na si tu kuconcentrate na kila tulichonacho. Websites ni kama zifuatazo:

http://www.coursera.org
http://www.edx.org
MIT OpenCourseWare | Free Online Course Materials

Muda wako kwenye internet usiwe kwa ajili ya kuchat tu, fungua soma, usisomee mitihani tu, soma kupata knowledge, fun then hata mitihani itafaulika tu.

Nlisahau niongeze source nyingine,
kwa wale wanaotumia iOS, yani iPhone au iPads au iPod pia wanaweza kudownload software inaitwa "iTunes U" wakaenda kwenye catalog then unaandika course unayoitaka zitakuja nyingi utachagua mwenyewe..

Wale wanaotumia computer kupata hii ya iTunes U, cha kufanya ni download itunes kwenye computer, then ukiifungua, nenda itunes store, kwenye search pale badala ya kuandika application, we andika course unayotafuta, mfano "Chemical Engineering"

Nadhani ntakua nimeeleweka, tupia mention na comment ka utakua umeshindwa kufuatilia vizuri
 
jambo jema , asante mkuu mi huwa napenda kusoma uchumi na sheria nahisi huu ni wakati wangu

wa kusoma na kuongeza maarifa zaidi kuhusu uchumi na sheria.. thanks mkuu ubarikiwe
 
jambo jema , asante mkuu mi huwa napenda kusoma uchumi na sheria nahisi huu ni wakati wangu

wa kusoma na kuongeza maarifa zaidi kuhusu uchumi na sheria.. thanks mkuu ubarikiwe
TNcrpE
 
Dreson4 mm sioni hizo video kabisa wala handaouts za darasani nimecheki site zote
nataka WEB DESIGN na BIOMEDICAL IMAGING

Thanks by the way
 
Last edited by a moderator:
Dreson4 mm sioni hizo video kabisa wala handaouts za darasani nimecheki site zote
nataka WEB DESIGN na BIOMEDICAL IMAGING
Thanks by the way
Web Designing kuna hii ya Harvard Extension School - Inaitwa Building Dynamic Websites, walichokigusia kinamsaada mkubwa hata kutengeneza static sites pia, fungua link hii : CS75.tv kwenye right utaona kuanzia lecture ya kwanza, ukiexpand utaona slides, source code walizopewa pamoja na video ya hiyo lecture.....
Ila kama utataka kuingia deep kusoma moja kama moja hizo language, mfano kuna course ya PHP peke yake, full, HTML peke yake full etc zipo nyingine pia.... **Japo nashauri kwa webdesigning ungeanza na darasa la Harvard la CS50 wanapogusia C Programming na Webdesigning kabla ya kuanza hiyo course.. ingekupa uelewa mzuri zaidi
-- Nimetumia "iTunes U" kutafuta kwa speed zaidi maana imeinclude zote from all sites, waweza tumia na iTunes pia ya kwenye PC--

Kuhusu Biomedical Imaging hiyo kupata course moja kama moja haiwezekani maana unajua biomedical imaging imegawanyika katika parts nyingi ambazo zimegawanywa, mtu anasoma kimoja kimoja mwisho wa siku anakua ameunganisha. so unless unataka ki-parts
 
Back
Top Bottom