Recent content by Chafu 3

  1. Chafu 3

    Ni movie gani unaipenda sana lakini watu hawaipendi?

    Love dont cost a thing na let it shine hua sizichok hiz
  2. Chafu 3

    Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

    Hakuna cheny mwanzo kikakosa mwsho,lazma ifike muda uwape kijit wenzio nao waendeshe hayo magari
  3. Chafu 3

    wakazi wacha maneno bado ni underground, zilla ni bro wako kwa game

    Wakazi underground? umeonyesha uchanga wako kimuziki
  4. Chafu 3

    Diamond platnumz anaikumbuka hii

    Kwan diamond ni mchezaj wa tim gan hapa tanzania
  5. Chafu 3

    Diamond hafikii mziki huu.kiki tu inampaisha na jina

    Diamond ndo anachezea tim gan kwan.....
  6. Chafu 3

    Napata Wasiwasi Sana Na Uelekeo Wa "DiamondPlatnumz"

    Kajitahid ila uwezo umepungua na wakat anaurelease huo wimbo xxl clouds fm alisema baada ya wik 3 anatoa ngoma nyingine nadhan ndo itakua na young killa
  7. Chafu 3

    Kimenuka mnyama adai alipwe milion ishirin kwa wiz wa nyimbo yake

    Mnyama anadai anachostahil quick alipaswa amuombe,mbna diamond na belle9 waliomba ruhusa kwa bi saida kabla ya kukopy salome,tatzo tz tunaish kwa mazoeza
  8. Chafu 3

    Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

    Mke wa mtu ni mtam lakin akikukamata mumewe ww ndo unakua mtam zaid kwake
  9. Chafu 3

    Wanaume nawapa siri kuhusu usafi wa mwili wa mwanamke wako!

    Wengne tulinyonya mara ya mwsho kwa mama
  10. Chafu 3

    Wadada tuambieni list ya wanaume mliovunja nao amri ya 6!

    Ngoja waje,Kuna watu wakiorodhesha idadi utafikir walikua wanahesabu sensa,wamesepa na kijiji
  11. Chafu 3

    Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

    Ujue kuna vitu watu hamjui kila anachopost kiba mnamhusianisha na nasib ila ukwel ni kwamba hayo maneno yko kweny wimbo wake mpya,new song alert hyo Kebe kebe,all the way
  12. Chafu 3

    Shemeji yangu Hana chupi

    Haha kwamba hana kufuli
  13. Chafu 3

    Ombi rasmi kwa CCM: Maandamano ya nchi nzima ya kumuunga mkono Rais wetu yaandaliwe

    Kwa hyo mkiandamana ndo inakua nn,kwamba mchanga ndo unarud? Wastage of tym n energy
Back
Top Bottom