Imethibishwa na Mshana Jr kweli hii..??Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
Pole sana jitie moyo vuta subira dunia siyo kama unavyoidhania, shukuru hata kwa kutokuja nani ajuaye nini kingekupata!!Jifunze kushukuru kwa kila jamboWandugu Habari
Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona wadada wa humu awataki kujibu text zangu mf miss natafuta nimetumia zaidi ya 20 naomben ushaur wenu, nimestuk usingzin lkn ili jambo limeniuma sana
Te te te magazeti ya daily newsWanaume wengi wa Jf hamna Swaga!
Maneno mengii Pesa hamna
Mtu anakutumia msg 20 kwa siku upoteze muda kujibu upuuzi wake kwa gharama zako?
Haya ni material tofauti kabisa na ya Mshana Jr.Imethibishwa na Mshana Jr kweli hii..??